1) Viazi vitamu vinaweza kukusaidia kupunguza kasi ya ngozi yako kuzeeka vina beta-carotene ambayo inaweza kugeuka kuwa Vitamia A ambayo husaidia kupunguza kasi ya uharibifu wa radical (inayo sababisha uzee)
2) Parachichi ni tunda la kijani lenye brimming na antioxidants na vitamini E, vyote viwili ni muhimu kwa ajili ya kulinda ngozi yako dhidi ya jua na Free-Radicals.
3) Nyanya husaidia kupambana na kuzeeka kwa ngozi , nyanya ina antioxidant ambayo ina nguvu inayoitwa lycopene , ambayo husaidia kuzuia uharibifu wa Radicals . Lycopene pia husaidia katika ulinzi dhidi ya UV kuondoa Wekundu wa ngozi
4)Strawberries zina vitamini C ambazo husaidia kuimarisha ngozi pia strawberries husaidia kudumisha collagen, protini muhimu katika miundo ya ngozi .
5) Spinach Jani hili hubeba tani ya madini : beta-carotene, lutein , potasiamu, nyuzi na folate ambayo madini hayo yote husaidia kukupa ngozi nzuri yenye afya.
6) Maji husaidia kurainisha ngozi pale inapo kuwa kavu, husaidia kuondokana na miwasho inayo sababishwa na ukavu wa ngozi.
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you can find 50298 additional Information on that Topic: afroswagga.com/skin-care/sahau-kuhusu-cream-kula-hivi-kwa-ngozi-yako/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/skin-care/sahau-kuhusu-cream-kula-hivi-kwa-ngozi-yako/ […]