Kumekuwa na maneno mengi katika uwanja wa mitindo kuanzia ngazi ya chini mpaka ya juu.
Wengi husema ni ngumu kwa wadau kumpa nafasi mtoto wa kike kuonyesha uwezo wake kwenye jukwaa la monyesho ya mitindo bila kuwa mahusiano nae.
Jihan aliwahi kuwa Miss Tanzania (3) 2014 kwa sasa ni mwanamitindo ambaye ameonekana katika majukwaa kadhaa ya mitindo na ameweza kugusa hisia za wapenda matamasha hayo.
Afroswaga haikuista kuzungumza nae juu ya kuonekana mara nyingi katika majukwaa hayo ambapo Jihan hakusita kuweka wazi na kusema “Nilivyoanza sikuwa na namjua mtu yoyote yule, sio kweli kama ukipanda kwenye jukwaa ni lazima uwe na mahusiano. Kikubwa ni kujiamini na ukipenda kile unachokifanya, ila kama huna hivyo vitu ndio labda utaweza kufanya hayo mambo.Ila kikubwa ni ni kujituma tu na sio kusubiri kutafutiwa nafasi.
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/snapped/ukweli-uko-wapi-juu-ya-kutokea-kwenye-majukwaa-ya-mitindo-jihan/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/snapped/ukweli-uko-wapi-juu-ya-kutokea-kwenye-majukwaa-ya-mitindo-jihan/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/snapped/ukweli-uko-wapi-juu-ya-kutokea-kwenye-majukwaa-ya-mitindo-jihan/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/snapped/ukweli-uko-wapi-juu-ya-kutokea-kwenye-majukwaa-ya-mitindo-jihan/ […]