Zikiwa zime salia siku kadhaa ifikeĀ siku yake ya kuzaliwa, mzazi mwenzie sugu aitwae Faiza Ally awaomba mashabiki wake wampe wazo la avae nini katika siku hiyo. Faiza ambae amezoeleka kwa vivazi vyake vya kuacha watu midomo wazi ameomba ushauri huo katika ukurasa wake katika mtandao wa Instagram. mwaka jana Faiza alisheherekea siku yake hio kwa kuvaa pampers kama watoto wadogo wanavyo fanya alijitetea kwa kusema hakutaka gharama je safari hii ata kuja na nini?
Haya ndio aliyo yaandika Faiza katika ukurasa wake wa Instagram
Baadhi ya picha za Faiza na viwalo vyake katika matukio tofauti tofauti
faiza na shati tupu katika ZariĀ all white party
Faiza katika Friday Night Live
Faiza katika Kili Music Awards
Related posts
5 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/streetfashion/faiza-ally-awauliza-mashabiki-wake-atoke-vipi/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/streetfashion/faiza-ally-awauliza-mashabiki-wake-atoke-vipi/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/streetfashion/faiza-ally-awauliza-mashabiki-wake-atoke-vipi/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/streetfashion/faiza-ally-awauliza-mashabiki-wake-atoke-vipi/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/streetfashion/faiza-ally-awauliza-mashabiki-wake-atoke-vipi/ […]