Reviewing Enjoy Music Video By Jux ft Diamond Platnumz
Kama tunavyojua kuwa juma jux na diamond platnumz kwenye swala la kutoa videos nzuri ni swala la kawaida sana. Pia usisahau kwa miaka mingi juma jux amekuwa moja kati ya wasanii wa kizazi kipya ambao wanashikilia crown katika swala la mitindo na kila siku anazidi…
Reviewing Dodo Music Video By Ali Kiba
Ali Kiba aliwa-surprise fans wake kwa kuachia video ya wimbo wake mpya uitwao “Dodo”, katika video hii mwanadada Hamisa Mobetto ametumika kama video vixen. Kabla hatuaenda kwenye review yetu kwanza tuseme tu hongera kwa Ali Kiba na team yake kwa kuona umuhimu wa kutumia stylist’s,…
Diamond Platnumz & Eddy Kenzo’s New Music Video’s Are Basically Designers Fashion Show
Katika barua yetu ya kufunga na kufungua mwaka 2019, tuliandika kuhusu wasanii wanavyo weza kufanya kazi na wabunifu na kufanya kazi zetu zionekane na kusonga mbele zaidi, inaonekana kwa namna moja au nyingine hili swala limeanza kufanyiwa kazi na stylist wameanza kutumia mavazi kutoka kwa…
Tetema Music Video Fashion Review
Ooh mama Tetema, Afroswagga tetema. Well wasanii Rayvanny na Diamond Platnum wameachia video ya nyimbo yao kali, TETEMA. Stylists waliotumiwa ni Noel Ndale, Vaazi pamoja na Macrida Joseph ambao tumewaona wakistyle video nyingi za WCB. Kila tuonapo alert ya video toka WCB tumesharidhika kukutana na…
Fashion Video Battle Between Fade Away By Victoria Kimani Vs That’s For Me By Vanessa Mdee
Ulishawahi kuangalia video halafu ukawaza kunasehemu ulisha wahi kuona kitu cha namna hii? Hiko ndicho kilitupata baada ya kuangalia video ya wimbo mpya wa Vanessa Mdee uitwao That’s for me, kuna scene ambayo Vanessa Amevaa beaded hair pamoja na fringe beaded coat na suruali ambayo…
Young Killer Avaa Crop Top Katika Music Video Yake Ya Secreto
Kwa wazee wenzetu haitokuwa shida sana kuujua huu wimbo wa secreto de amor umetokana na Tamthilia gani na tunajua mtakuwa mnawakumbuka Maria Clara na Carlos Rahul, well enough na hii tamthilia lets get back to business, Young Killer ana new song na new video inaitwa…
Fashion Review Ya Kadamshi Music Video Ya Dully Sykes Na Harmonize
Dully Skyes katoa wimbo mpya ambao kamshirikisha mwana WCB Harmonize, ni wimbo unaofanya vizuri kwa sasa especial kutokana na kwamba kudamshi ni neno ambalo linatumika sana sasa hivi, Neno hili linamaana karibu na kupendeza ukivaa mtu akapenda unaambiwa ume damshi, labda hii ndio sababu ya Dully…
Collaboration Ya Noel Ndale Na Macrida Joseph Katika Video Ya Fella Ya Navy Kenzo
Navy Kenzo ambalo ni group la wasanii wawili Aika na mpenzi wake Nahreel wametoa wimbo mpya uitwao Fella, Well tumeona video yake na we are impressed the video is very fashionable ni kama unaangalia run way, japo wimbo ni mzuri lakini pia mionekano yake humu…
Mvumo Wa Radi By Ali Kiba
Mwanamuziki Ali Kiba ametoa wimbo wake mpya uitwao mvumo wa radi, ni wimbo wa mapenzi unaohamasisha kupendana zaidi regardless unapotokea. Well leo tunafanya review ya wimbo huu upande wa video hasahasa katika mitindo (fashion) kuona je yaliyomo yamo na kipi cha tofauti tulicho kiona katika…
Samuel Zebedayo Aeleza Namna Alivyofanya Kazi Na Damian Soul
Seems like mwaka 2018 ni mwaka ambao una mengi ya kufurahia na maombi yetu ya siku zote yana sikika tumeanza kuona wasanii wakitumia stylist katika video zao lakini tumeanza kuona pia wasanii wakitumia mavazi kutoka kwa wabunifu wetu wa hapa Nchini kwetu, tuseme tu hizi ni step…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…