Copycatting Much?
Mwaka jana mwezi wa tisa Queen Bee au kwa jina lake la kuzaliwa Beyonce alitu-bless na tour ya Otr 11 ambapo ukiachana na show zake kusifiwa na ku-trend Beyonce alianzisha trend kadhaa za mavazi ikiwepo kuzirudisha kwenye trend hizi Cartwheel hat, alizivaa mara kwa mara…
Je Stylist’s Kutoka Tanzania Wanafanya Kile Wanachokihubiria?
Katika sanaa ambayo husahaulika Nchini Tanzania ni stylist, Stylist wapo wachache mno na hata waliopo pia na wao hawatupi zile ladha ambazo sisi tungependa kuziona, wengi wanaiga styles kutoka kwa ma stylist wengine lakini pia wanafanya kazi moja mbili wakipata jina wanapotea this makes us…
New Year New Body Or New Year Lots Of Editing?
Is Everybody Slimming Down Or Are They Lying To Us?, Ukiingia social media it seems like kila mtu ana pata body goals yake, from Tanzania Sweetheart Wema Sepetu, Dada wa Taifa Mange Kimambi, Ndege mnana Linah Sanga, Aunty Ezekiel na wengine wengi wameonekana kupungua na…
Let’s Talk About Rayvanny’s New Look
Wanasema style is a way of saying who you are without having to speak, if that is so we are wondering what Rayvanny is trying to tell us. Kama bado hujaelewa nini tunaongelea ni kwamba kwa sasa msanii kutoka katika kundi la WCB, Rayvanny ana…
Who Wore What At Wasafi Festival 2018
Juzi jumamosi label ya muziki ya Wasafi Classic Baby ilizindua Wasafi Festival ambapo ni kama concert inayo wahusisha wasanii mbalimbali ku-perform na kwa mara ya kwanza ilifanyika mkoani Mtwara, kama ndio mara ya kwanza kwa hiki kitu kufanyika we expected more kutoka kwa wanamuziki ambao…
Ni Sawa Mwenza Wako Kukuweka Mipaka Katika Mavazi?
Hili swala huwa linatokea Mara nyingi majumbani kwetu, wengi wanakatazwa au kupewa mipaka ya nini wavae na nini wasivae na wenza wao, hii hutokea pale tu mwenza anapo penda mwenza wake avae Mavazi ya aina Fulani na si ya aina Fulani na ni kutokana na…
Does Fashion Knows Age?
Tunaishi katika ulimwengu ambao kila kitu kina limit yake,ukifikia umri fulani basi kuna baadhi ya vitu vinapashwa uviache kwa maana umri wako wa kutumia hivyo vitu umepita, kuna vile ambavyo vina make sense na kuna vile ambavyo vinatufanya tufikirie mara mbili kweli usifanye kitu fulani…
Tanzania Fashion Influencers Are You For Real?
Tunadhani muda umefika wa kuongelea kuhusu fashion influencers kutoka Tanzania, kuona kwamba watu maarufu wanajaribu kufanya vitu tofauti katika nyanja za mitindo its real is a relief kuona tunaelekea pazuri, kwa sasa tunaona ukuaji katika fashion influencers watu mbalimbali maarufu na wa ambao wapenzi wa…
Kim Kardashian Still Has The Flat Tummy And Flawless Skin In Uganda Too ( Quit The Edits)
Let us sit sip this coffee on our coffee table ( afroswagga shade chamber) na tuongelee kuhusu hizi edits ambazo watu maarufu wanazitumia kupata “perfection” until they been capture by Techno Wereva Camera na hapo ndipo rangi zao za ukweli na miili inapo tokea, Katika…
Wema Sepetu Wore A Sad Outfit Ever
Wakati tuna celebrate watu maarufu mbalimbali wakiwa wana upgrade mionekano yao seems like Wema yeye ameamua kuwa vice versa, akiwa anakuja na project kubwa mbili sisi tulitegemea kuona her look itaendana na kitu ambacho anakuja nacho but oh well wanasema “husipigie mahesabu pesa isiyokuwa mfukoni…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…