Bijoux Trendy On Working With Ali Kiba
Bijoux ni moja ya wabunifu tulio nao Nchini ambao wapo tofauti kabisa, ikiwa wengi wame base kwenye mavazi ya sherehe na wengine wakiwa kwenye material za kizungu yeye anafanya batiki na mavazi ya ni ya day wear, hivi karibuni tumemuona mwanamziki Ali Kiba akiwa amevalia…
Reviewing Celebrities Outfits On Eid
Baada ya ndugu zetu waislam kumaliza mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, huwa washerehekea Eid siku hii wengi huwa wanavaa mavazi mapya, kupika vyakula mbalimbali na kutoka na familia na marafiki. Tumeona watu maarufu mbalimbali ambao walishare mionekano yao katika sikukuu/holiday hii ambapo kwa wanawake…
Ali Kiba, Director Kenny, Calisah In Blonde Hair Do
We all love a change up, sio kila siku kuonekana yuleyule sometimes unahitaji kuja kivingine kidogo na kwa sasa tunawaona mwanamuziki Ali Kiba,Director Kenny na Mwanamitindo Calisah wakiwa wameamua kubadilisha style zao za nywele na kuwa blonde. Well kila mmoja wao amechagua rangi ambayo amehisi…
Reviewing Dodo Music Video By Ali Kiba
Ali Kiba aliwa-surprise fans wake kwa kuachia video ya wimbo wake mpya uitwao “Dodo”, katika video hii mwanadada Hamisa Mobetto ametumika kama video vixen. Kabla hatuaenda kwenye review yetu kwanza tuseme tu hongera kwa Ali Kiba na team yake kwa kuona umuhimu wa kutumia stylist’s,…
Makeup Artist Wa Tanzania Kuna Uhitaji Wa Kuwatendea Haki Wanaume Pia
Kama hujawahi kusikia au umewahi kusikia lakini huamini basi “Yes Wanaume Hupaka Makeup Pia” japo makeup zao huwa sio obvious kama kwa wanawake, lakini wao pia wanapakwagwa kuficha vitu kadhaa wa kadhaa. Na hii sio tu Tanzania bali hata Nchi za nje na sio tu…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…