Artistic Looks From Amvca 2022
Baada ya kuona best looks kwenye Amvca 2022 tumeona tuwaletee hizi looks ambazo zenyewe zilikuwa kisanii zaidi, yaani zilibuniwa kwa namna ya tofauti kuna ambazo zilikuwa nzuri na kuna ambazo zilikuwa nope, asilimia kubwa ya looks hizi tumeona kuna ambao walikuwa inspired na looks za…
Top 9 Best MaleĀ Looks From AMVCA 2022
Wanaume hawakubaki nyuma kwenye kupendeza, tumependa kwamba wengi wao walivaa suit zinazoeleweka huku wakijaribu kuweka utofauti iwe rangi tofauti au kuongezea mbwembwe nyingine. Hawa ndio wanaume 9 waliopendeza zaidi katika macho yetu kwenye AMVCA 2022 Ebuka Siruti Denola Tope Shaggy Akin Elozanam Timini Deyime
Top 10 Looks From AMVCA 2022
Who be us not to talk about AMVCA 2022, Nigerian’s gets it tunachopenda kuhusu wao hawana ile tu, kwamba event yenyewe si ya tuzo za mziki tu au kuwa na mazoea na event. Ni kama event imeanzishwa mwaka huu namna watu walivyo show up and…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…