Top 9 Best MaleĀ Looks From AMVCA 2022
Wanaume hawakubaki nyuma kwenye kupendeza, tumependa kwamba wengi wao walivaa suit zinazoeleweka huku wakijaribu kuweka utofauti iwe rangi tofauti au kuongezea mbwembwe nyingine. Hawa ndio wanaume 9 waliopendeza zaidi katika macho yetu kwenye AMVCA 2022 Ebuka Siruti Denola Tope Shaggy Akin Elozanam Timini Deyime
Our Two Cents On Elizabeth Michael’s Dress At AMVCA 2020
Elizabeth Michael “Lulu” alipata nafasi ya kutuwakilisha katika Africa Magic Viewers Choice Awards ( AMVCA ), Event ilifanyika huko Lagos, Nigeria. Toka Eliza apost ata-attend hii event kila mtu alikuwa excited kuona atavaa nini na sisi tukiwepo. Eliza alivaa blue dress kutoka kwa mbunifu Kyamirwa. Tunaamini…
Top 10 Best Dressed At The 2020 AMVCA
Ukiachana na kuangalia washindi wa Tuzo jicho letu lilikuwa kwenye red carpet, nani amevaa nini na je alipendeza au lah? The most anticipated award show Africa, Africa Magic Viewers Choice Awards ( AMVCA ) Ilifanyinyika jumamosi hii, na watu maarufu wengi walihudhuria wengi wao walipendeza…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…