Muna Love Birthday Photoshoot Outfit Review
Happy New Year kwenu cousin’s, Afromates na ndugu wasomaji (lol) imekuwa muda since tukutane hapa ni matumaini yetu mwaka huu tutakutana hapa mara nyingi zaidi anyways enough with maelezo turudi kwenye swala kuu ambalo ni reviewing Muna Love Birthday Photoshoot. Muda ni moja kati ya…
Reviewing Jokate Mwegelo’s Birthday Outfit
Aliyekuwa mwanamitindo na sasa ni mwanasiasa, Jokate Mwegelo juzi alisheherekea siku yake ya kuzaliwa na kutimiza miaka 35, Jokate alifanya photoshoot kwaajili ya siku yake hii muhimu na sisi tupo hapa kufanya review ya muonekano wake katika photoshoot hio. alivaa suit ambayo ina flower detail…
Hamisa Mobetto Birthday Photoshoot Outfit Review
Hamisa Mobetto ameongeza mwaka mwingine tena & tunaweza kusema a girl is aging with grace. Hamisa alikuwa na 3 Birthday Photoshoots, na kama ilivyokuwa kawaida huwa tunaangalia mavazi na kama ni Yay or Nay Look ya kwanza ilikuwa ni hii sexy look, a simple dress…
Lilly Afe Channeling Her Inner Cardi B For Her 30th Birthday Photoshoot
Muigizaji na producer Lilian Afegbai kutoka Nigeria, ametimiza miaka 30 leo, kama ambavyo tunajua watu maarufu wengi hupenda kusheherekea siku zao za kuzaliwa kwakuvaa vyema na kufanya photoshoot. Kwa Lilly yeye aliamua kum-channel mwanamuziki Cardi B ambae alivaa hili vazi kutoka kwa mbunifu Man Fred…
Wema Sepetu Birthday Photoshoot Raised The Bar
Tupo a bit late kuongelea hii photoshoot lakini ni photoshoot ambayo ipo worthy kuiongelea, Wema Abraham Sepetu amesheherekea Bithday yake juzi, Mwaka huu hakukuwa na sherehe lakini imeonekana all the efforts ziliwekwa kwenye photoshoot. Well the photoshoot was just minimal na ni monochrome looks, lakini…
Bob Risky Serving Body For Her Birthday Photoshoot
Bob Risky ni internet personality kutoka Nigeria, Bob amepata umaarufu kutokana na kuvaa kwake nguo za kike. Mwaka huu Bob alienda kufanya sugery ya mwili wake na kuongeza hips pamoja na kupunguza tumbo. Well amesheherekea birthday yake na ameamua kutu-serve body kwenye birthday photoshoot zake…
Hamisa Mobetto & Fahyma Are Giving Us Baby Fever With These Birthday Photo shoot’s
Hivi karibuni watoto wa watu maarufu Hamisa Mobetto na Fahyma walisheherekea siku zao za kuzaliwa, kama ilivyokawaida ya watu maarufu wengi hupiga picha na watoto wao kwa ajili ya kusheherekea kumbukumbu zao za kuzaliwa. Hamisa yeye alikuwa akisheherekea siku ya kuzaliwa ya mtoto wake wa…
Birthday Review Photoshoot’s From Bonang Matheba, Chioma Good Hair,& Rose Michael
Week iliyopita imeonekana kuwa na birthday za watu maarufu nyingi, na wengi walionekana kufanyia photo shoot tumeona si mbaya kama tukifanya review na ku-judge outfit zao. Fashionista Bonang Matheba turned 33 akiwa amevalia hii co ord set, tumependa hii photoshoot imeendana na hali ya sasa…
Wema Sepetu, Zari The Boss Lady & Vera Sidika Birthday Photo-shoots Review
Ni Libra season na sote tunajua watu wengi maarufu wamezaliwa mwezi huu, well week iliyopita tumeona birthday za watu maarufu watatu kutoka Tanzania, Kenya Na Uganda. Ambapo kwa Tanzania tunae Wema Sepetu, Kenya ni Vera Sidika na Uganda ni Zarina Hassan ( Zari The Boss…
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…