Tips Za Namna Ya Kupangilia Rangi Kutoka Kwa Joujou House Of Style
Jina lake halisi ni Johary Japhary wengi tumemzoa kama Joujou House Of Style, ni stylist ambae amefanya kazi na watu maarufu wengi. Ukiachana na kuwavalisha watu Joujou ni fashionista herself. Sisi huwa tunapenda style zake zilivyotofauti na wengine na tunacho kipenda zaidi ni namna anavyo…
Hamisa Mobetto, Sishkikii, Nengi & Others In Color Blocking Trend
Color Blocking Trend imerudi tena, watu maarufu na wabunifu mbalimbali wameonekana kuvutiwa na trend hii kwa kutuonyesha namna mbalimbali unavyoweza ku-color block na mavazi yako. Kuvaa mavazi yenye bold colors kuna faida mbalimbali ikiwepo: Kuboost mood yako Zinaongeza ufanisi katika siku yako Zinakufanya uwe noticed…
Elizabeth Michael,Rihanna, Spice Diana Na Wengine Katika Color Blocking Trend
Week hii tumeona kilicho trend mtandaoni ni block colors trend, hii trend huwa inaenda na kurudi. Kuna ambao wanaipenda na kuna wengine ambao hawajawahi kuipenda, mmoja wapo akiwa blogger Missie Popular ambae alitamani hii trend isirudi tena “Afroswagga – Tutajie fashion trend ambayo huwezi kuijaribu…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…