Date Outfit Ideas From Tanzanian Celebrity Couples
Iwe mnasheherekea Anniversary, Date Night au First Date utataka uonekane vyema (upendeze), outfit yako inafaa kuwa chic na picture perfect (you don’t want to post bad looks on the gram right?), well leo tunakuleta outfit ideas kwaajili ya dates aina mbalimbali ambapo ideas tumetoa kutoka…
Date Outfit Ideas From Juma Jux And Karen Bujulu
The weekend is here inawezekana una plans za kutoka na mwenza wako, lakini hujui uvae nini unapoenda, well kuna date’s za aina tofauti tofauti kuna za casual, business na zile romantic zote hizi zina mitoko yake kutokana na sehemu mnayoenda. Leo tunawaangalia couple mpya kabisa…
Steve & Marjorie Harvey Are Serving Style And Couple Goals In Paris
Inawezekana couple goals yako ni ile ambayo mtazeeka pamoja lakini kwetu sisi couple goals yetu sio kuzeeka bali pia ni kuzeeka na ku-look fly together kama Steve Harvey (65) na Marjorie Harvey (57). Steve na Marjorie wameonekana katika mitaa ya Paris kwenye Paris Fashion Week…
6 Times Rayvanny & Paula Served In Matching Outfits
Mwanamuziki Rayvanny na mwanamitindo Paula Kajala ndio power couple kwasasa. Wawili hawa wame-confirm uhisiano wao week chache zilizopita katika 19th Birthday ya Paula. Since wawekewazi uhusiano wao huu Rayvanny na Paula wamekuwa wakiserve looks zao pamoja, ambapo mara nyingi wameonekana ku-match outfit zao. Ambacho tunaweza…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…