Hijabi Models Wa Cover Gazeti La Vogue Arabia
Mara tu tulipo ona hii cover ya Vogue Arabia April msemo wa “Be You The World Will Adjust” ulitujia kichwani, miaka michache nyuma models wengi walikuwa wakilalamika kutokuwepo na diversity katika modeling industry, lakini kwa sasa Dunia inaanza kukubali na kutumia models wa aina mbalimbali,…
Its March And Nigerian Fashion Industry Is Already Making Waves On Vogue
Mnakumbuka ile harusi ya mwanamuziki na muigizaji kutoka Nigeria ambayo ilichukua weeks kuisha? yes Bank W na mkewe Adesua Etomi-Wellington did that, well Adesua Etomi-Wellington ameonekana katika cover ya gazeti kubwa la fashion la VOGUE. Hili gazeti kila mtu ambae yupo famous au yupo kwenye fashion industry…
Beyonce Graced Vogue September Issue With Minimum Makeup And Natural Hair
Wakati week iliyopita tulimuona Rihanna alivyo break internet katika cover ya British Vogue September Issue akiwa ame make – headlines na nyusi zake za sina mume, Rihanna Apaka Wanja Wa Sina Mume Katika British Vogue Magazine Cover Beyonce yeye ame Grace Vogue September Issue With…
Rihanna Apaka Wanja Wa Sina Mume Katika British Vogue Magazine Cover
Rihanna kawa mwanamke wa kwanza mweusi kuwa katika cover ya British Vogue Magazine September Issue, katika cover hii Rihanna amevaa hot pink Prada dress, Savage x Fenty gloves, a flower headdress and thin, huku kitu ambacho kime make headlines katika mitandao ya kijamii ni wanja wake…
Namzamo Mbatha Looking Feminine Talking About Feminism In CosmopolitanSA Magazine
Don’t we all love a woman who dress good and make her own money? We do right? well moja kati ya ma-fashionista wanao tazamwa sana Africa ni Namzamo Mbatha yeye ni muigizaji kutoka South Africa, Namzomo pia ni UNHCR Ambassador kutokana na kuwa na upendo wake…
Jacqueline Wolper Is A Cover Girl On True Love Magazine July Issue
True Love Magazine East Africa is making waves, baada ya Wema Sepetu, Zarina Hassan sasa hivi ni zamu ya muigizaji, mbunifu, fashionista na mjasiriamali Jacqueline Wolper. Wolper ataonekana katika gazeti hili ambalo linatoka mwenzi huu July, yeye ndio atakuwa cover girl na ataongelea kuhusu mahusiano…
Zarina Hassan On True Love Mag East Africa
Zarina Hassan au Zari the Boss Lady ameonekana katika cover ya Tue Love Mag East Africa, kichwa cha habari kikiwa her life in the fab lane well magazine bado haijatoka as tumejaribu kutembelea katika website ya magazine hii na hatujakuta bado june edition ambayo yupo Zari….
International Model Herieth Paul Stuns In Channel Number On Dress To Kill Magazine Cover
Kama kuna mwanamitindo Tanzania inabidi tushukuru kwamba ni mzawa wa Tanzania basi ni huyu msichana Herieth Paul, she is business. hatuwezi kuhesabu ni mara ngapi ame itangaza hii Nchi vyema kwa kuwa featured kwenye fashion magazines kubwa, kutembea kwenye run ways za wabunifu wakubwa lakini…
Millen Magese Covered Genevieve Magazine March & April 2018 Issue
Aliyekuwa Miss Tanzania 2001, Happiness Magese amepata nafasi ya kuwa cover katika gazeti la Genevive Magazine kutoka Nigeria ambalo lina mirikiwa na muigizaji kutoka Nigeria, Genevive Nnaji. Katika article yake Happiness ameongelea kuhusu Endometriosis and Infertility na jinsi alivyo weza kupata mtoto. Katika hii cover Millen…
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…