Escapade Collection By Martin Kadinda
Mbunifu Martin Kadinda ameachia collection yake iitwayo Escapade huko Mawemawe Manyara, tumepata muda wa kuongea na kufahamu machache kuhusu collection hii, AFS: The escapade collection-unaweza tuelezea inspiration behind it? Martin: Mostly my collection are inspired by the work of art, from fabric prints, nature and…
Yaliyojiri katika usiku wa Style & Fashion
Usiku wa Style & Fashion ndio tuliokuwa tunausubiri hasa kujua kina nani watapanda kwenye majukwaa ya Sanaa Fashion 2016. Hatimaye jana tukapata kufahamu kitendawili hiki kilicho kosa majibu kwa kitambo kidogo. Ilikuwa jana pale Atriums Hotel ambapo tulipata kushuhudia warembo na mahandsome kwenye ubora wao…
HOT TOPICS
Ya’ll Can Talk About That Wardrobe Malfunction, But What I Want To Know Ni Kwanini Kapaka Mafuta Nusu Mguu Au Ni Ki… https://t.co/CV99NEPX6Y
FollowThis Is How It Looks Like Brand Ambassadors Waki Advertise Skin Care Na Filter Au Makeup Usoni https://t.co/yvzmN1zL7w
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…