Marioo,Diamond Na Watu Maarufu Wa Kiume Hawajui Kuhusu Utunzaji Wa Mikono
Usafi wa mikono ni muhimu sana kwa binadamu, iwe mtu maarufu au wa kawaida, uwe wa kike au wa kiume wote tunatakiwa kuwa na mikono misafi, mikono misafi haichagui jinsia wala umri. Katika pitapita zetu kwenye mitandao ya kijamii tumeona wasanii wetu wakijitahidi kuvaa vyema,…
Reviewing Nitongoze by Rayvanny Ft Diamond Video Looks
Nani ambae ana heart break na haijui huu wimbo? wimbo una trend na unagusa wengi, kama wengine mimi nilikuwa mmoja ya watu ambao walikuwa wanasubiri hii video itoke, kiukweli ime ni-disappoint kidogo nilijua itakua more of dancing video ila director kaamua kupita kushoto, sio mbaya…
Reviewing Haji Manara’s Birthday Party Looks
Its Capricorn season kwasasa watu walio zaliwa January wanasherekea kumbukumbu za siku za kuzaliwa kwao na mmoja kati yao ni Haji Sunday Manara a.k.a Dela Boss au El Buggati. Haji amefanya sherehe yake katika ukumbi uliopo Mlimani city, tupo hapa kukupa review ya nani alivaa…
Reviewing Diamond Platnum’z First Of All Ep Cover Outfit
Mwanamuziki Diamond Platnumz ametoa EP yake iitwayo first of all, wakati wengine wakiwa wanaendelea kuchambua nyimbo zilizopo sisi tumeona tugeukie upande unaotuhusu nao ni wa mavazi ambayo amevaa katika cover ya Ep hiyo, well get all the scoop and juice kwa kuangalia review yetu hapo…
Big Pendant Necklace’s Are The New Choker’s
Wenzetu huwa wanasema “Go Big Or Go Home”, inaonekana wasanii wetu wanalitilia mkazo hili kwasasa linapokuja swala zima la mikufu na vidani vyake. Tumeona wasanii mbalimbali kutoka Africa wakiwa wanavalia mikufu yenye vidani vikubwa vyenye maandishi au picha mbalimbali inategemea na mapenzi yake. Kwetu Tanzania…
Hamisa Mobetto Na Mahusiano Mapya, Wiz Khid Ayo Kwenye Cover Ya Vogue, Zari Under Wear Saga + More
Kama ilivyoada huwa tunawaletea habari zilizoshika headlines kwa upande wa fashion kwa week nzima, week hii tumeona habari nne ambazo zimeshika vichwa vya habari vingi. Mwanamitindo na fashion entrepreneur Hamisa Mobetto ameonekana kuwa na mahusiano mapya, mwanadada huyu ambae alionekana akiwa Dubai na Mwanamuziki Ricky…
Diamond Platnumz Street Style In United States
Mwanamuziki Diamond Platnumz aliondoka kwenda Los Angeles, kwa ajili ya Tuzo za BET lakini toka aende hajarudi ila kama wasanii wengine amekuwa akitu-update ni nini anachofanya huko amekuwa akipost picha na watu maarufu mbalimbali kama Snoop Dog, Swizz Beatz, Buster Rhymes na wengine wengi. Kama…
Miriam Odemba & Lilo Aderogba Wawatolea Uvivu Wanaovaa Vitu Fake
Tulishawahi kuongelea kuhusu watu maarufu kuvaa fake designers, na tulipata maoni yenye pande mbili kuna ambao walisema ni sawa na kuna ambao walisema si sawa. Well kuvaa fake designers kunaweza kumshushia msanii kwa kiasi kikubwa pale tu umma utakapo notice na kumuweka hadharani kwamba alichovaa…
Celebrities Looks Over The Weekend
This week mitandao ya kijamii ilichangamka kutokana na watu maarufu mbalimbali ku-share picha zao katika account zao, wakiwa katika style mbalimbali za mavazi kuna ambao walikuwa casual, wengine walikuwa chic, wengine walikuwa wamehudhuria katika sherehe mbalimbali. Kama ilivyoada tupo hapa kukuletea nani alivaa nini na…
Diamond Platnumz Outfit At BET Award 2021
Mwanamziki Diamond Platnumz alienda Los Angels kutuwakilisha katika BET Awards ambapo yeye alikuwa moja kati ya Nominees wa Tuzo. Japo Diamond hakuchukua ushindi he surely made a statement katika red carpet ya Tuzo hizo za BET. Theme ya Tuzo hizi ilikuwa #CultureBiggestNight, kama ambavyo tunajua…
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…