Vitu Vitatu Vinavyokuzuia Kuboresha Muonekano Wako
Kila mmoja wetu anatamani kuwa na aina fulani ya muonekano, inawezekana kuna vitu kadhaa vinakufanya ushindwe kuupata huo muonekano na mara nyigni wengi tunaangukia kwenye vitu hivi vitatu, Kutokuwa Na Pesa Pesa ni kikwazo kikubwa sana kwa wengi wetu, hasa pale unapotaka kuweza kununua mavazi…
5 Tips Za Kuanza Kuonekana Classy & Elegant
Inawezekana unapenda sana kuonekana classy na elegant lakini hujui uanzie wapi na ufanye nini, kwanza kabisa tungependa kukwambia inawezekana na kuonekana elegant au classy sio lazima uvae suit au official wear, sio lazima uanze kununua mavazi au vitu vya bei ghali hapana unaweza kuvaa mtumba…
Dalili 3 Unajiachia Kimuonekano (Letting Yourself Go)
Tumesha sikia au kulitumia hili neno mara nyingi, unaweza kuwa umekutana na mtu ambae ulikuwa unamjua zamani akakwambia umejiachia au wewe ukajiuliza kwanini huyu amejiachia hivi? Lakini ukajiuliza hili neno kujiachia ni nini au kwanini huyu mtu amekwambia hivyo au ameona nini mpaka akasema haya…
5 Fashion Tips Kwa Wanawake Wenye Matiti Madogo
Wanawake wenye matiti ama vifua vidogo wana advantage kubwa kuliko wenye maziwa makubwa ( we wonder why wanawake wanapenda maziwa makubwa) machaguo yao ya mavazi huwa rahisi kupata lakini pia they can go braless bila watu kushangaa. Well kama una kifua kidogo na una patwa…
High Waist Jeans Do And Dont’s
High wasted jeans ni jeans ambazo zinakuwa ndefu mpaka tumboni na zinashika kiuno kwa jina lingine wanapenda kuziita mom jeans, aina hii ya jeans inakufanya kuwa classic , casual , sexy and chic katika muonekano wako ila inategemea umevaaa na nini. Katika kipindi cha hivi…
Tabia 6 Za Kimavazi Zinazo Zinazo Punguza Mvuto Wako
Ladies, sote huwa tumeshawahi kufanya makosa linapo kuja katika swala la mavazi lakini kizuri ni kwamba unaweza kubadilika, wakati wa ukuaji unakuwa unajitafuta mpaka pale ambapo unakua na kujua ni kipi kinakufaa hii hutokea hata kwenye mavazi unaweza kugundua style yako ya utotoni si sawa…
Kwanini Tunanunua Nguo Na Kuishia Na Mavazi Tusiyoyapenda?
Umeshawahi Kujiuliza Kwanini Ni Wewe Mwenyewe Unaenda Madukani Kununua Nguo Kisha Unakuwa Na Kabati Lina Mavazi Mengi Na Huyapendi? Inashangaza Right? Well Hii Hutakona Na Kwamba Unanunua Vitu Vilivyo Kwende Trend Kwa Wakati Fulani Wengi huwa hatununui mavazi ambayo ni timeless tunaangalia nini kina trend…
Bra/Vest Rangi Gani Uvae Unapovaa Shirt Nyeupe?
Moja kati ya vitu vinavyo kera ni kuvaa nguo nyeupe ya juu kisha ukavalia brazia ambayo inarangi na kufanya blazia kuonekana kwa nje, eg unavaa top / shirt nyeupe na unavaa na brazia au vest nyeupe na rangi zinakingana na kusababisha ile ya ndani kuonekana….
Vitu 4 Vya Kutoa Kutoka Katika Kabati Lako Sasa
Kunavitu huwa tuna ng’ang’ania katika makabati yetu na havina hata kazi ili mradi tu inawezekana una historia navyo au unavipenda, well leo tunakupa vitu 5 ambavyo unatakiwa kutupa au kugawa kutoka katika kabati lako kwasasa. Pieces that aren’t you Inawezekana kwasasa upo katika umri mwingine,…
Sababu 4 Kwanini Style Yako Ina Boha
Unapenda fashion unapenda kuvaa vizuri, una mavazi mazuri lakini chakushangaza kilaunapo yavaa unaona hayakupi ile feeling ya kuwa this is it, kukupa ile confidence ya kwamba umependeza na kujishow off. Well inawezekana unafanya vitu hivi ambavyo vinasababisha kuharibu style yako: Mindset Yako Inaweza kuwa ni…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…