SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

Mitindo

Mavazi Ya Kuvaa Endapo Una Mikono Minene 

Sote tuna ile part katika miili yetu ambayo tunaona haiko sawa ( insecurities ), inaweza kuwa mikono, miguu, tumbo, vidole, chochote ambacho unaona hakiko sawa na unatamani kukificha, kitu ambacho sisi tungeweza kukwambia ni kwamba your beautiful the way you are. Lakini kama unaona bado…

Dondoo

3 Tips For Achieving Straight Posture 

Week iliyopita tuliongelea kuhusu Bad Posture To Fix For Confident Body Language, tulipokea maswali mengi na moja wapo lilikuwa mtu anaanzaje kuwa na straight posture, kiukweli kama hujazoea si rahisi na lazima utajisahau na kukakaa au kutembea ukiwa umeinama au kujikunja. Leo tunakulete tips 3…

Mitindo

5 Tips Za Kuanza Kuonekana Classy & Elegant 

Inawezekana unapenda sana kuonekana classy na elegant lakini hujui uanzie wapi na ufanye nini, kwanza kabisa tungependa kukwambia inawezekana na kuonekana elegant au classy sio lazima uvae suit au official wear, sio lazima uanze kununua mavazi au vitu vya bei ghali hapana unaweza kuvaa mtumba…

Mitindo

What To Wear To College/University 

Kipindi cha kurudi vyuoni kimefika, kama kuna sehemu ambayo huwa inaleta utata basi ni nini uvae chuoni, wengi huwa tunakuwa too casual au too official/formal which machaguo yote mawili si sahihi, ikumbukwe too casual unaonekana haupo smart unaenda chuo na sio kwenda kwenye mizunguko ya…

Mitindo

3 Tips Za Kuonekana Elegant Nyumbani 

Kuna wale wenzangu na mimi tukitoka tunawaka, nywele kali, ka-makeup usoni, tunanukia mpaka tunavutia majini lakini ukifika nyumbani tu hali inabadilika, wig imetupwa kushoto una mabutu yako yana miezi mitatu, unatoa nguo unachukua ki-khanga chako kimepaukaa, unukie au uoge unaenda wapi kwani? upendeze unam-pendezea nani?…

Mitindo

Faida 3 Za Elegant / Classy Style 

Kwa namna ambavyo Dunia inaenda sasa watu wengi wanawake kwa wanaume hawajali namna ambavyo wanaonekana, unaweza kusema mbona sasa hivi ndio watu wanajali mionekano tunaweza kusema ni watu wachache sana wanaangalia wanachovaa, wengi tunavaa tu ilimradi tuvae, unaweza kukuta mtu amevaa nguo za gym akiwa…