Mavazi Ya Kuvaa Endapo Una Mikono Minene
Sote tuna ile part katika miili yetu ambayo tunaona haiko sawa ( insecurities ), inaweza kuwa mikono, miguu, tumbo, vidole, chochote ambacho unaona hakiko sawa na unatamani kukificha, kitu ambacho sisi tungeweza kukwambia ni kwamba your beautiful the way you are. Lakini kama unaona bado…
Vitu Vitatu Vinavyokuzuia Kuboresha Muonekano Wako
Kila mmoja wetu anatamani kuwa na aina fulani ya muonekano, inawezekana kuna vitu kadhaa vinakufanya ushindwe kuupata huo muonekano na mara nyigni wengi tunaangukia kwenye vitu hivi vitatu, Kutokuwa Na Pesa Pesa ni kikwazo kikubwa sana kwa wengi wetu, hasa pale unapotaka kuweza kununua mavazi…
3 Tips For Achieving Straight Posture
Week iliyopita tuliongelea kuhusu Bad Posture To Fix For Confident Body Language, tulipokea maswali mengi na moja wapo lilikuwa mtu anaanzaje kuwa na straight posture, kiukweli kama hujazoea si rahisi na lazima utajisahau na kukakaa au kutembea ukiwa umeinama au kujikunja. Leo tunakulete tips 3…
5 Tips Za Kuanza Kuonekana Classy & Elegant
Inawezekana unapenda sana kuonekana classy na elegant lakini hujui uanzie wapi na ufanye nini, kwanza kabisa tungependa kukwambia inawezekana na kuonekana elegant au classy sio lazima uvae suit au official wear, sio lazima uanze kununua mavazi au vitu vya bei ghali hapana unaweza kuvaa mtumba…
3 Bad Posture To Fix For Confident Body Language
Kama kuna vitu ambavyo hatufundishwi hasa sisi wa-Africa ni kuhusu kujiamini na body language, kwetu tembea utakavyo, kaa upendavyo ni wewe na maisha yako lakini kumbe kuna namna ambavyo tunatakiwa kufanya vitu hivi tunapoenda mbele ya watu wanaojua hivi vitu wana tutafsiri vibaya kama hatuna…
What To Wear To College/University
Kipindi cha kurudi vyuoni kimefika, kama kuna sehemu ambayo huwa inaleta utata basi ni nini uvae chuoni, wengi huwa tunakuwa too casual au too official/formal which machaguo yote mawili si sahihi, ikumbukwe too casual unaonekana haupo smart unaenda chuo na sio kwenda kwenye mizunguko ya…
3 Tips Za Kuonekana Elegant Nyumbani
Kuna wale wenzangu na mimi tukitoka tunawaka, nywele kali, ka-makeup usoni, tunanukia mpaka tunavutia majini lakini ukifika nyumbani tu hali inabadilika, wig imetupwa kushoto una mabutu yako yana miezi mitatu, unatoa nguo unachukua ki-khanga chako kimepaukaa, unukie au uoge unaenda wapi kwani? upendeze unam-pendezea nani?…
Je Ni Mara Ngapi Unatakiwa Kununua Bra Kwa Mwaka?
Kubadilisha sidiria yako mara kwa mara ni njia mojawapo ya kuepuka hatari za kuvaa sidiria isiyofaa/kukutosha, ambayo inaweza kukuletea athari za maumivu ya kichwa na maumivu ya mgongo kutokana na poor posture ya sidiria hio. Kutokana na uchunguzi wa Harper Wilde, 70% ya wanawake walisema…
Dalili 3 Unajiachia Kimuonekano (Letting Yourself Go)
Tumesha sikia au kulitumia hili neno mara nyingi, unaweza kuwa umekutana na mtu ambae ulikuwa unamjua zamani akakwambia umejiachia au wewe ukajiuliza kwanini huyu amejiachia hivi? Lakini ukajiuliza hili neno kujiachia ni nini au kwanini huyu mtu amekwambia hivyo au ameona nini mpaka akasema haya…
Faida 3 Za Elegant / Classy Style
Kwa namna ambavyo Dunia inaenda sasa watu wengi wanawake kwa wanaume hawajali namna ambavyo wanaonekana, unaweza kusema mbona sasa hivi ndio watu wanajali mionekano tunaweza kusema ni watu wachache sana wanaangalia wanachovaa, wengi tunavaa tu ilimradi tuvae, unaweza kukuta mtu amevaa nguo za gym akiwa…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…