Faida Za Kutumia Sabuni Ya Mchele Katika Ngozi
Inawezekana unakula wali kilasiku lakini inawezekana hujui kwamba mchele unaotumika kupikia wali unaweza kutengeneza sabuni na zinafaida mbalimbali katika ngozi, Yes kuna faida mbalimbali za urembo katika mchele kuanzia kwenye nywele mpaka ngozi. Sabuni zilizotengenezwa kwakutumia mchele zinasaidia kukupa softness katika ngozi yako, kung’arisha ngozi…
Poshy Queen Havai Midosho
Video vixen na mfanyabiashara Poshy Queen amefanya mahojiano na Wema App katika segment ya My Truth ambapo katika short clip tuliyoiona kwenye mitandao ya kijamii amesema havai midosho ni bora asivae brand. Kwa wale ambao mtakuwa mnajiuliza mdosho ni nini – mdosho ni vazi fake…
Umuhimu Fitting Katika Mavazi
Mavazi yaliyoshonwa vizuri yanaweka utofauti mkubwa katika muonekano wako, lakini mavazi yanayokutosha vyema, hapa tunamaanisha mavazi ambayo yanakupa nafasi ya kupumua bila kubana sana wala kuachia sana, mavazi yanayoishia urefu sehemu sahihi yanakufanya uonekane zaidi ya yale yaliyoshonwa vyema. Fitting Ya Mavazi Imegawanyika Katika Sehemu…
THE COMPLETE PIECE (VIPANDE VINAVYO KAMILISHA MUONEKANO)
The complete pieces ni vile vipande vinavyo saidia kukamilisha muonekano wako. Vitu kama Blazer (koti), Belt (makanda), Scarf, Statement accessories (mikufu, hereni etc) hivi vitu ndivyo husaidia kufanya muonekano wako uwe unaonekana ume kuwa putted together yaani ni kama vina polish muonekano Topper– hivi ni…
5 Tips On How To Be Classy And Stylish According To Lavidoz
Moja kati ya watu maarufu ambao wengi wanawapenda kutokana na mavazi yao basi ni mwanadada Lavidoz, Lavidoz ana mwili wa kawaida ( sio ile miili ya kutengeneza) na bado anavaa na kupendeza. Ambacho wengi tunavutiwa nacho kutoka kwake ni kwamba japo havai mavazi ya ghali…
Mavazi Ya Kuvaa Endapo Una Mikono Minene
Sote tuna ile part katika miili yetu ambayo tunaona haiko sawa ( insecurities ), inaweza kuwa mikono, miguu, tumbo, vidole, chochote ambacho unaona hakiko sawa na unatamani kukificha, kitu ambacho sisi tungeweza kukwambia ni kwamba your beautiful the way you are. Lakini kama unaona bado…
Zuchu Anahitaji Somo La Fashion
Zuchu anaweza kuwa ndiye msanii wa kike anaetamba kwasasa, speed yake katika muziki ni kubwa mno tunatamani hii speed asingeipeleka kwenye fashion pia maana anatupeleka puta in a wrong way, kwenye week moja tena week yake muhimu yote ametuvalia shaghala baghala. Tunadhani anahitaji kukaa chini…
Rayvanny Afanya Dhambi Ya Kutokujua Nini Avae Wapi
Katika vitu ambavyo huwa tunapaswa kuangalia katika kuchagua mavazi ni kujua sehemu unayoenda unatakiwa kuvaaje. Kuna sehemu ukivaa mavazi ya aina fulani unaweza kuwa kituko mfano: huwezi kuingia ofisini ukiwa umevalia pensi. Hiki ndicho kilichomkuta mwanamuziki Rayvanny kutoka label ya WCB ambae alikwenda Nchini Kenya…
Zuchu Committed A Fitting & Wrong Accessory Crime
Zuchu anaonekana kuwa mpenzi wa fashion na tunavyo muona ni kwamba anajaribu ku-stand out kuwa tofauti na wengine, ukiangalia mavazi yake utajua kuna mtu ana mu-inspire na angependa kuwa kama yeye lakini kuna vitu anakosea. Week hii tumeona akijaribu kuvaa oversized suit, kama mnakumbukumbu na…
Makosa Nane Ya Uvaaji Unayopaswa Kuyaepuka
Makosa ni kitu cha kawaida hususani katika uvaaji, Hata kwa watu wanaojua kuvaa kuna siku unakosea step. Ni makosa ambayo kwa hatua chache kadhaa yanaweza kurekebishwa. Kurekebisha makosa haya kutasaidia kuboresha style yako na uvaaji wako na pia inaweza kusaidia hata kupunguza matumizi yako katika…
HOT TOPICS
As long as hakuna Aya,Mstari Au Kifungu Kinachosema “Kuto Kuoga Ni Dhambi Au Kosa Kisheria” Then Perfume na Bodyspray Tu Zinatosha Msimu Huu
FollowDown To Very Little Details, Read More Here 👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾 https://t.co/IeYufSGMgy https://t.co/IeYufSGMgy
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…