Reviewing Looks From Drama Queens
Siku ya Jumapili iliyopita kulikuwa na sherehe ya moja ya member ya group inayojiita drama queen ( Irene Uwoya, Wema Sepetu, Kajala Masanja, Aunty Ezekiel, Jacqueline Wolper na Elizabeth Michael). Sherehe hii ilikuwa ya mtoto wa Irene Uwoya na wenzie walienda ku-show support, walichagua Nigerian…
Spotted Beauty Looks From Last Week
Iwe walikuwa kazini, kwenye mitoko na wapendwa wao au wamejipaka tu kwaajili yao wenyewe kwaajili ya nafsi zao, watu hawa maarufu walionekana kwenye mionekano ya kuvutia na makeup zao. Tumependa tulichokiona na efforts wanazotumia makeup artist kuwafanya waonekane warembo bila kupoteza ule urembo asilia wao….
Beauty Crush Elizabeth Michael
Tulianza kwa kumjua kama Lulu lakini sasa hivi anaitwa mama G, time flyies right? Well ukiachana kuwa muigizaji mzuri Lulu ni mpenzi wa fashion na urembo na kwasasa toka ametoka kujifungua amekua akitu-serve beauty looks back to back. Lulu anapenda kufanya makeup yake iwe simple…
Hamisa Mobetto, Elizabeth Michael & Jihan Dimack Serving Looks
Imekuwa muda toka tupate kuona watu maarufu wakitoka kwenda kwenye event usiku, seems like this week event zilikuwa nyinginyingi na wengi wali-attend, well we have 3 looks ambazo zimeonekana kupendwa na ku-trend sana katika mitandao ya kijamii. Tunae Elizabeth Michael ambae alivaa purple & gold…
Celebrities Hair Cut Inspiration
Katika kitu ambacho huwa kina-stress ni nywele, wakati mwingine unataka tu uwe na simple hair style ambayo haitokufanya uwe unahangaika nazo mara kwa mara. Na ndio maana kuna wakati unakuta baadhi ya watu maarufu mbalimbali wanaamua kukata nywele zao. Well leo tuna watu maarufu wanne…
Celebrities Go Makeup Free & Letting Their Skin Breath
Ikiwa tumezoea kuona watu maarufu wa kike wakiwa all glammed & dolled up, lakini kamba ambavyo wao ni binadamu kama binadamu wengine huwa wanamuda wanataka kupumzisha ngozi zao. Inawezekana huwa wanatuonyesha upande wao wa makeup sana kwa sababu ya kazi zao kuwataka kuonekana hivyo mara…
2 Looks From Elizabeth Michael Maternity Photoshoot
Muigizaji Elizabeth Michael ambae alifunga pingu za maisha na mumewe Majizzo mwanzoni mwa mwaka huu. Majizzo Na Elizabeth wamefanikiwa kupata mtoto wa kiume na katika kututaarigu kuhusu ujio huu wa mwanafamilia mpya waliachia matnenity photoshoot yao. Eliza alivalishwa na mbunifu Elisha Red Label ambapo alivaa…
Elizabeth Michael Na Majizzo Wedding Review
Ilikuwa surprise kwetu sote, Jumanne hii muigizaji Elizabeth Michael ( Lulu) Na mpenzi wake Francis Ciza ( Majizzo ) wamefunga ndoa. Ilikuwa ni sherehe iliyo hudhuriwa na watu wachache. Eliza alimtumia makeup artist Lavie Makeup, ambapo alimpa nude look, brow as usual zilikuwa on point…
Christmas Slayage From Tanzania’n Stars
Week iliyopita kulikuwa na sikukuu ya Christmas ambapo baadhi ya watu maarufu walitoa picha zao ambazo zinaonyesha mionekano yao huku wakiwatakia wa-Tanzania sikukuu njema. Tunaweza kusema wengi wao walipendeza sana na kujitahidi katika mionekano yao, rangi ambayo ilitawala ilikuwa nyekundu. Muigizaji Kajala Masanja alikuwa kwenye…
Jacqueline Mengi, Elizabeth Michael And Toke Makinwa In Organza style dress
Its Furahi day na kama kawaida huwa tuna Friday Fashion Battle Field. Leo tupo na Mwanamitindo Jacqueline Mengi, Muigizaji Elizabeth Michael Na Radio Personality kutoka Nigeria Toke Makinwa wakiwa wamevalia hii Organza style dress. Kwa wale mnaojiuliza organza ni nini hii ni combination ya fabrics…
HOT TOPICS
As long as hakuna Aya,Mstari Au Kifungu Kinachosema “Kuto Kuoga Ni Dhambi Au Kosa Kisheria” Then Perfume na Bodyspray Tu Zinatosha Msimu Huu
FollowDown To Very Little Details, Read More Here 👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾 https://t.co/IeYufSGMgy https://t.co/IeYufSGMgy
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…