Fahyvanny Is A Blue Mermaid Serving Looks On A Yatch
Socialiate Fahyma (Fahyvanny) amekuwa akitupa looks day after day yaani non stop slayage na leo ametupa look yake ya kumi ambapo amevaa hii corset mermaid blue strapless dress. Gauni imeshonwa na mbunifu kutoka Tanzani, we must say Fahyma looks gorgeous na mbunifu kajitahidi sana gauni…
Maoni Ya Fahvanny Juu Ya Vazi La Tems Kukosolewa
Usiku wa kuamkia Jumatatu kulikuwa na Tuzo kubwa za Oscar, Tuzo ambazo zilihudhuriwa na watu maarufu mbalimbali walioalikwa, mwanamuziki kutoka Nigeria, Tems nae alihudhuria hafla hii akiwa amevalia vazi lake zuri lakini lilipata feedback mbaya kutokana na headpiece kuwaziba kuona waliokuwa nyuma yake. Well tumepokea…
Fahyma Talks About Her Beauty Line
Fashionista Fahyma amezindua beauty line yake ambapo kwa kuanza ameanza na Kope za bandia (fake eyelashes), tumefanikiwa kufanya nae mahojiano na alikuwa na haya ya kusema; AFS:Kwanini Lashes? Fahyma: 1: hili swali la kwanza nakujibu ktk sekta mbili A: nimechagua lashes kwasababu na penda urembo,…
Reviewing Nandy’s Kitchen Party Looks
Jumapili ilikuwa sherehe ya kitchen party ya Faustina Charles Mfinaga a.ka Nandy na watu maarufu wengi walihudhuria ambapo wengi wao walipendeza mno. Rangi za usiku huu zilikuwa gold,njano,nyekundu pamoja na nyeupe. Kama ilivyo ada ni lazima tutoe two cents zetu kwenye mionekano tuanze na mwenye…
6 Makeup Looks From Last Week
Juma lililopita lilikuwa na mengi, sherehe, photoshoots, engagement etc. Na kama ilivokuwa kawaida kukiwa na matukio basi sisi huwa tunaangalia namna ambavyo watu maarufu wamehudhuria je mavazi yao yalikuwa on point? Je makeup na nywele zilitulia? Na tuna wrap up na kuwaletea hapa maoni yetu….
Kyamirwa Talks About His Original Design Dress
AFS: Tunaomba Tukujue Kwa UfupiKyamirwa: In a nutshell, a born and raised Tanzanian Fashion Designer. Craft experience in sewing over 10 years. Owner and Creative Director of a fashion company, Kyamirwa, mainly focused on exquisite and detail-attentive bridal and evening dresses AFS: Hii Ni Original…
Shilole Na Fahyma Walivyoshindwa Kutembelea Viatu Virefu
Wakati inaaminika watu wengi maarufu wanajua kutembelea viatu virefu, imekuwa tofauti kwa Fahyma na Shilole ambao week hii wameonekana kushindwa kutembelea viatu hivi. Sio dhambi hata kidogo kwa mtu maarufu au sisi wengine kushindwa kutembelea viatu hivi ila huwa inaleta picha tofauti pale ambapo mtu…
Beauty Looks From Last Week
A round of applause kwa makeup artist na hair stylist wa Tanzania, we said it once and we will say it again makeup artist & hair stylist wanajitahidi sana katika kuhakikisha sekta yao inakua. Ukiachana na sekta hii kukua na kuwa na upcomings wengi bado…
Colorful Hair Ideas From Tanzanian Celebrities
Kubadilisha rangi ya nywele kuna kufanya u-stand out, endapo tu rangi hio ya nywele itaendana vyema na wewe. Watu wengi maarufu hutumia hii njia kujiweka kuwa tofauti na wengine. Kama wewe ni mpenzi wa kuweka rangi kichwani mwako basi hizi ni ideas chache tulizozipata kutoka…
Hamisa Mobetto & Fahyma Are Giving Us Baby Fever With These Birthday Photo shoot’s
Hivi karibuni watoto wa watu maarufu Hamisa Mobetto na Fahyma walisheherekea siku zao za kuzaliwa, kama ilivyokawaida ya watu maarufu wengi hupiga picha na watoto wao kwa ajili ya kusheherekea kumbukumbu zao za kuzaliwa. Hamisa yeye alikuwa akisheherekea siku ya kuzaliwa ya mtoto wake wa…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…