6 Makeup Looks From Last Week
Juma lililopita lilikuwa na mengi, sherehe, photoshoots, engagement etc. Na kama ilivokuwa kawaida kukiwa na matukio basi sisi huwa tunaangalia namna ambavyo watu maarufu wamehudhuria je mavazi yao yalikuwa on point? Je makeup na nywele zilitulia? Na tuna wrap up na kuwaletea hapa maoni yetu….
Try These Celeb Inspired Eid Makeup Looks
Sikukuu ya Eid inakaribia na inawezekana umeshapata vazi lako au bado unatafuta, mara nyingi huwa tunajiandaa kimavazi na vyakula na tunasahau kuhusu looks zetu usoni, kutona na kufunga kwa mwezi mzima, kuchoka na mapishi ya hapa na pale sikukuu hii inaweza kukuta ngozi yako ikiwa…
Spotted Beauty Looks From Last Week
Iwe walikuwa kazini, kwenye mitoko na wapendwa wao au wamejipaka tu kwaajili yao wenyewe kwaajili ya nafsi zao, watu hawa maarufu walionekana kwenye mionekano ya kuvutia na makeup zao. Tumependa tulichokiona na efforts wanazotumia makeup artist kuwafanya waonekane warembo bila kupoteza ule urembo asilia wao….
Kyamirwa Talks About His Original Design Dress
AFS: Tunaomba Tukujue Kwa UfupiKyamirwa: In a nutshell, a born and raised Tanzanian Fashion Designer. Craft experience in sewing over 10 years. Owner and Creative Director of a fashion company, Kyamirwa, mainly focused on exquisite and detail-attentive bridal and evening dresses AFS: Hii Ni Original…
2022 Started On The Right Fashion Foot
Tayari tumeshaanza kuipenda 2022, tukiwa ndio kwanza kwenye siku ya nne ya mwaka tumeona watu maarufu mbalimbali wakiwa wamevalia mavazi yaliyotuvutia. kitu kikubwa zaidi tulichopenda kwenye mavazi haya ni kwamba yameshonwa hapahapa Tanzania na wabunifu wetu, hii inaonyesha tunavyoendelea tutaona mengi zaidi na wataendelea kukua…
Shilole Na Fahyma Walivyoshindwa Kutembelea Viatu Virefu
Wakati inaaminika watu wengi maarufu wanajua kutembelea viatu virefu, imekuwa tofauti kwa Fahyma na Shilole ambao week hii wameonekana kushindwa kutembelea viatu hivi. Sio dhambi hata kidogo kwa mtu maarufu au sisi wengine kushindwa kutembelea viatu hivi ila huwa inaleta picha tofauti pale ambapo mtu…
Reviewing Celebrities Outfits On Eid
Baada ya ndugu zetu waislam kumaliza mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, huwa washerehekea Eid siku hii wengi huwa wanavaa mavazi mapya, kupika vyakula mbalimbali na kutoka na familia na marafiki. Tumeona watu maarufu mbalimbali ambao walishare mionekano yao katika sikukuu/holiday hii ambapo kwa wanawake…
Best And Worse Dressed Celebs From Last Week
As usual inapofika Jumatatu tuna-round up looks kutoka week iliyopita ya nani alivaa nini na kama alipendeza au Lah!., Well kutoka week iliyopita tumeona mionekano tofauti tofauti kuna ambao walipendeza, walikuwa kawaida na walio haribu hapa tunaangalia wale waliopendeza zaidi. Rosed Makeup in detached skirt…
What Celebrities Wore On Valentines Day
February 14 dunia husheherekea siku ya wapendanao, ambapo wengi hupokea na kutoa zawadi lakini pia kutoka kwenda kwenye matembezi na kuvalia vyema. Watu maarufu mbalimbali huchukua muda wao kupiga picha na kutuonyesha nini wamevaa kwenye siku hio, na hawa ni baadhi ya ambao tumewaona. fahyma…
2021 Slayage Edition
Ni Siku Nne tu toka tuanze mwaka mpya, na tunaweza kusema mwaka tayari unaonekana kuanza vyema kabisa as watu maarufu mbalimbali wameonekana ku-slay na outfit zao. Tunaanza na mwanamitindo Happiness Magese ambae alisheherekea siku yake ya kuzaliwa akiwa amevalia tulle dress ya pink akiwa amemalizia…
HOT TOPICS
As long as hakuna Aya,Mstari Au Kifungu Kinachosema “Kuto Kuoga Ni Dhambi Au Kosa Kisheria” Then Perfume na Bodyspray Tu Zinatosha Msimu Huu
FollowDown To Very Little Details, Read More Here 👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾 https://t.co/IeYufSGMgy https://t.co/IeYufSGMgy
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…