Lavie Makeup Vs Sanch In Elisha Red Label Statement Dress
Another Furaaaahi Day, Another Friday Fashion Battle Field, Leo tunae makeup artist Lavie Makeup na mwanamitindo Sanch ( Surraiya) wote wawili wakiwa wamevalia statement dress kutoka kwa mbunifu Elisha Red Label. Wa kwanza kumuona katika gauni hili alikuwa mwanamitindo Sanch ( Surraiya) ambae yeye alivaa…
Zuchu Vs Maua Sama In Mini Skirt Suit
Its been a minute kuona watu wamevaa mini skirt suit ni kama watu wamezisahau hivi kwa sasa suit zinazotamba ni za suruali lakini tunaambiwa dare to be different na hiki ndicho ambacho wanamuziki Zuchu na Maua Sama wamefanya. Wao wameonekana kutokutaka kuwa sawa na wengine…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…