Stockings Zilivyoharibu Shughuli Ya Yemi Alade
Moja ya mavazi ambayo ukivaa unatakiwa kuwa mtulivu na mwenye heshima ni stockings huwa ni rahisi sana kuchanika na kuharibu muonekano wako mzima. Hali hii imetokea mwanamuziku kutoka Nigeria, Yemi Alede ambapo alivaa vazi lake la kitenge akaamua avalie na stockings ndani, lakini kama ilivyoada…
Watu Maarufu Kuvaa Winter Jackets Kipindi Cha Jua
Leo kwenye fashion court tupo na watu maarufu wanaovaa winter jackets na jua hili la Nchini kwetu, tena basi wakiwa hawapo Iringa wala Mbeya wapo kwenye Jiji lililobarikiwa Jua na Joto. Yes we have seen it and imetushangaza unavaaje winter coat na hili jua? Are…
Zuchu Anahitaji Stylist ASAP
Kwa sasa mwanadada aneongelewa zaidi katika anga ya muziki ni Zuchu, amesainiwa hivi karibuni na WCB ikiwa chini ya mwanamuziki Diamond Platnumz. Zuchu anafanya vizuri na nyimbo zake lakini sehemu ambayo tunaona iko wrong ni upande wa fashion. Anaonekana anapenda fashion na anapenda kujaribu lakini…
Mitindo Ya Unisex Inavyokuja Taratibu Nchini Tanzania
Tuliwahi kuongelea kuhusu unisex fashion na namna ambavyo wabunifu wanavyo buni mavazi ya aina hii kwa kasi, Unisex fashion and style ni mavazi yanayobuniwa na kuweza kuvaliwa na jinsia zote yaani ya wanaume na wanawake. Hii ni kwa mashati, sketi, suruali na hata accessories za…
Kim Kardashian Na Linah Sanga Slaying This Low Cut, Off The Shoulder Two Pieces
Tunapenda tunapoona watu maarufu wamevaa vazi la aina moja, na hii si kwa sababu ya kuona nani amevaa vizuri zaidi ya mwingine lah hasha bali ni kuona namna ambavyo unaweza ku-style hio outfit kwa namna tofauti tofauti, lakini pia size variety, na leo tunamuona mwanamuziki Linah…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…