How to Feel Confident In Your Clothes
Usikubali watu wakupangie cha kuvaa wewe ndo unayechagua cha kuvaa so wear them with pride. Asikuambie mtu hakuna kitu kizuri kama ukifeel confident na comfortable in your clothes na huu ndio muda wakujisikia vyema ukiwa umevalia mavazi yako. Wewe ndio best vision of yourself kwaio…
Mavazi Yako Ya Kulalia Yanavyo Athiri Usingizi Wako
Kuvaa mavazi / nguo ambazo zinaachia wakati wa usiku ni muhimu hasa katika mzunguko wa damu lakini pia kuifanya ngozi ipumue, kuvaa mavazi yanayo bana kama tight, mavazi yenye elastic kiunoni au tops za kubana zinaathiri mzunguko wako wa damu na kutatiza uwezo wako wa…
Vazi La Yammi Tz Lafananishwa Na Zulia Ya Manyoya
Mwanamuziki kutoka katika label ya the African princess, Yammi ame trend katika mitandao ya kijamii kutokana na vazi lake alilolivaa jukwaani wakati anatumbuiza. Yammi alivaa pink fur outfit ambayo ilikuwa ni crop top, mini skirt na knee length fur socks zikiwa za manyoya ya pink,…
How To Style Your Boubou Like A Rich Auntie
Boubou au buubuu ni upgraded version ya kijora, ni gauni la moja kwa moja ambalo unaweza kuvaa kwenye mizunguko ya kilasiku, tofauti ya vazi hili na kijora ni kwamba hili lina material nzuri na pia lina-style tofauti tofauti. Ikiwa tumeona lina trend kwa sasa tunakuleta…
Mavazi Ya Kuvaa Endapo Una Mikono Minene
Sote tuna ile part katika miili yetu ambayo tunaona haiko sawa ( insecurities ), inaweza kuwa mikono, miguu, tumbo, vidole, chochote ambacho unaona hakiko sawa na unatamani kukificha, kitu ambacho sisi tungeweza kukwambia ni kwamba your beautiful the way you are. Lakini kama unaona bado…
Vitu Vitatu Vinavyokuzuia Kuboresha Muonekano Wako
Kila mmoja wetu anatamani kuwa na aina fulani ya muonekano, inawezekana kuna vitu kadhaa vinakufanya ushindwe kuupata huo muonekano na mara nyigni wengi tunaangukia kwenye vitu hivi vitatu, Kutokuwa Na Pesa Pesa ni kikwazo kikubwa sana kwa wengi wetu, hasa pale unapotaka kuweza kununua mavazi…
Je Unatakiwa Kutokujijali Baada Ya Kuolewa?
Leo kwenye pitapita zetu huko mitandaoni tukakutana na hii video ya mwanadada kutoka Nigeria ambae anasema amekutana na mchepuko wa mume wake na aka-realize tatizo ni yeye. Ukiendelea kusikiliza hii video anasema kwamba huyo mchepuko ni fine girl, anavyovaa, nywele zake na anavyojijali wakati yeye…
Don’t Go Broke Trying To Appear Rich
Inawezekana huwa unajiwekea malengo lakini kuna certain life unaishi na inasababisha usifikie malengo yako. Japo tunaambiwa fake it till you make it hii haimaanishi tufanye vitu vilivyo juu ya uwezo wetu pale ambapo hatuna, tumeona kwasasa wadada wengi wanajaribu kuonyesha maisha fulani mtandaoni wasiokuwa nayo…
3 Tips For Achieving Straight Posture
Week iliyopita tuliongelea kuhusu Bad Posture To Fix For Confident Body Language, tulipokea maswali mengi na moja wapo lilikuwa mtu anaanzaje kuwa na straight posture, kiukweli kama hujazoea si rahisi na lazima utajisahau na kukakaa au kutembea ukiwa umeinama au kujikunja. Leo tunakulete tips 3…
3 Bad Posture To Fix For Confident Body Language
Kama kuna vitu ambavyo hatufundishwi hasa sisi wa-Africa ni kuhusu kujiamini na body language, kwetu tembea utakavyo, kaa upendavyo ni wewe na maisha yako lakini kumbe kuna namna ambavyo tunatakiwa kufanya vitu hivi tunapoenda mbele ya watu wanaojua hivi vitu wana tutafsiri vibaya kama hatuna…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…