High Waist Jeans Do And Dont’s
High wasted jeans ni jeans ambazo zinakuwa ndefu mpaka tumboni na zinashika kiuno kwa jina lingine wanapenda kuziita mom jeans, aina hii ya jeans inakufanya kuwa classic , casual , sexy and chic katika muonekano wako ila inategemea umevaaa na nini. Katika kipindi cha hivi…
Tabia 6 Za Kimavazi Zinazo Zinazo Punguza Mvuto Wako
Ladies, sote huwa tumeshawahi kufanya makosa linapo kuja katika swala la mavazi lakini kizuri ni kwamba unaweza kubadilika, wakati wa ukuaji unakuwa unajitafuta mpaka pale ambapo unakua na kujua ni kipi kinakufaa hii hutokea hata kwenye mavazi unaweza kugundua style yako ya utotoni si sawa…
Kwanini Tunanunua Nguo Na Kuishia Na Mavazi Tusiyoyapenda?
Umeshawahi Kujiuliza Kwanini Ni Wewe Mwenyewe Unaenda Madukani Kununua Nguo Kisha Unakuwa Na Kabati Lina Mavazi Mengi Na Huyapendi? Inashangaza Right? Well Hii Hutakona Na Kwamba Unanunua Vitu Vilivyo Kwende Trend Kwa Wakati Fulani Wengi huwa hatununui mavazi ambayo ni timeless tunaangalia nini kina trend…
Mavazi Ya Kuepuka Endapo Una Mwili / Kimo Kidogo
Kupata mavazi ambayo yanaendana na kimo chako inaweza kuwa ni tatizo ambalo unakutana nalo mara kwa mara endapo wewe ni mfupi, yes hii inakuwa kama zamani ambapo watu wanene walikuwa wakikosa mavazi kutokana na makampuni kutumia sana vipimo vya models wembamba same na kwa wafupi…
5 Tips To Look Sexy In A Shirt
kuna vitu vidogo vidogo ambavyo mwanaume unaweza kufanya ukaonekana smart, stand out na kuleta mvuto katika muonekano wako, wengi wetu hudhani huitaji kupendeza kwani wewe ni “mama” lol now days wadada wanavutiwa na wakaka walio smart. Leo tunakuletea tips 5 za kuonekana sexy ukiwa umevalia…
Bra/Vest Rangi Gani Uvae Unapovaa Shirt Nyeupe?
Moja kati ya vitu vinavyo kera ni kuvaa nguo nyeupe ya juu kisha ukavalia brazia ambayo inarangi na kufanya blazia kuonekana kwa nje, eg unavaa top / shirt nyeupe na unavaa na brazia au vest nyeupe na rangi zinakingana na kusababisha ile ya ndani kuonekana….
Kumbuka Sheria Hii Unapoenda Kununua Mavazi
Unaweza kuwa mmoja ya wale watu ambao unaenda shopping na kununua tu mavazi bila ya kuwaza, mwishoe una end up na kabati ambalo lina nguo lakini hauna cha kuvaa. Lakini kumbe ukiwa unakumbuka sheria hii kila unapoenda kununua mavazi basi utapata mavazi ya kuvaa kila…
Vitu 4 Vya Kutoa Kutoka Katika Kabati Lako Sasa
Kunavitu huwa tuna ng’ang’ania katika makabati yetu na havina hata kazi ili mradi tu inawezekana una historia navyo au unavipenda, well leo tunakupa vitu 5 ambavyo unatakiwa kutupa au kugawa kutoka katika kabati lako kwasasa. Pieces that aren’t you Inawezekana kwasasa upo katika umri mwingine,…
Sababu 4 Kwanini Style Yako Ina Boha
Unapenda fashion unapenda kuvaa vizuri, una mavazi mazuri lakini chakushangaza kilaunapo yavaa unaona hayakupi ile feeling ya kuwa this is it, kukupa ile confidence ya kwamba umependeza na kujishow off. Well inawezekana unafanya vitu hivi ambavyo vinasababisha kuharibu style yako: Mindset Yako Inaweza kuwa ni…
Namna 3 Za Kuipa T-shirt Yako Muonekano Mpya
Wewe ni mpenzi wa kuvaa t-shirt? Lakini huwa unavaa namna moja au mbili tu na inaanza kuwa boring? Tukisema namna moja au mbili tunamaanisha kuchomekea na kuchomolea t-shirt yako kwenye suruali au skirt uliyovaa? Leo tunakuletea namna 3 unazoweza ku-style tshirt yako ukapata muonekano mpya…
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…