Reviewing Looks From Last Week
Imekuwa muda kidogo sinse tufanye review za looks za watu maarufu weekly na hii ni kutokana na kwamba mara nyingi looks zinakuwa so/so, kama haijajirudia basi ni za kawaida sana well this week imekuwa tofauti kidogo as kila tunapopita tumekutana na looks zinazovutia kwa namna…
Vazi La Yammi Tz Lafananishwa Na Zulia Ya Manyoya
Mwanamuziki kutoka katika label ya the African princess, Yammi ame trend katika mitandao ya kijamii kutokana na vazi lake alilolivaa jukwaani wakati anatumbuiza. Yammi alivaa pink fur outfit ambayo ilikuwa ni crop top, mini skirt na knee length fur socks zikiwa za manyoya ya pink,…
4 Fashionable Ways To Go Broke As A Woman
Katika Dunia kuna namna unaweza kufilisika lakini in a way mwenyewe unaona kwamba ni sawa sisi tunaita fashionably broke, kwamba unakuwa huna pesa lakini unaonekana vyema kimuonekano, which kimuonekano inaweza kuwa sawa ila kwa ndani si sawa. Leo tunakuletea namna 4 unaweza kuwa fashionably broke…
The Kardashian Took Over Italy For Kourtnrey & Travis’s Wedding
Hii ndio ile hayawi hayawi mbona yamekuwa, haolewi mbona kaolewa. Kourtney Kardashian ni dada mkubwa wa The Kardashian ambae wengi hatukudhani kama sikumoja tutakuja kuona harusi yake but here we are. Well Kourtney ameshaolewa na mwanamuziki Travis Barker kwasasa wapo Italy kwaajili ya sherehe yao,…
Roma Mkatoliki Kuhusu Mark Zugerberg Kuvaa Plain T-shirt
Mwanamuziki Roma Mkatoliki amechukua muda wake na kuandika kuhusu maisha na matumizi ya pesa, katika hoja yake kubwa aliliongelea ni kuhusu mmiliki wa kampuni za WhatsApp, Instagram,Meta na nyingine nyingi kuwa anavaa tu plain t-shirt na kula salad na maji. Tunaelewa Roma alikuwa anajaribu kuelimisha…
Poshy Queen Havai Midosho
Video vixen na mfanyabiashara Poshy Queen amefanya mahojiano na Wema App katika segment ya My Truth ambapo katika short clip tuliyoiona kwenye mitandao ya kijamii amesema havai midosho ni bora asivae brand. Kwa wale ambao mtakuwa mnajiuliza mdosho ni nini – mdosho ni vazi fake…
2022 Started On The Right Fashion Foot
Tayari tumeshaanza kuipenda 2022, tukiwa ndio kwanza kwenye siku ya nne ya mwaka tumeona watu maarufu mbalimbali wakiwa wamevalia mavazi yaliyotuvutia. kitu kikubwa zaidi tulichopenda kwenye mavazi haya ni kwamba yameshonwa hapahapa Tanzania na wabunifu wetu, hii inaonyesha tunavyoendelea tutaona mengi zaidi na wataendelea kukua…
Muna Love Serving Looks After Surgery
Rose Alphonce a.k.a Muna love ni true definition ya new year new me ameingia mwaka mpya akiwa na new age na new body. Muna ambae miezi ya mwishoni ya mwaka 2021 alitangaza kuwa atafanya surgery 11 katika mwili wake, mpaka sasa tumejua surgery 3 tu…
Flaviana Matata Afunguka Kuhusu Kuvunjika Kwa Ndoa Yake, Jackie Cliff Arudi Uraiani, Budget Ya Harusi Ya Aristoste + More
Week nyingine imeisha na huwatunajua ni lazima kuwe na jambo la kuongelea, well week hii zilizoonekana kushika masikio ya watu kwenye mitandao ya kijamii ni pamoja na mwanamitindo Flaviana Matata kufunguka kuvunjika kwa ndoa yake. Flaviana Matata alifunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu…
All White Affairs While Toasting With Moet
Moet & Chandon wamesheherekea Moet Grand Day ambayo imewaunganisha watu maatutu mbalimbali kutoka katika bara la Africa. Kwetu Tanzania ambao walituwakilisha ni Rio Paul, B Dozen, Brigitte Alfred pamoja na fashionista Doris, theme ya hii siku ilikuwa all white na tuliwakilishwa vyema kabisa. Brigitte alivaa…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…