Namna Ambavyo Usafiri Unaweza Kuathiri Muonekano Wako
Kuna vitu mbalimbali vya kuangalia pale ambapo unachagua mavazi ya kuvaa kama mazingira, hali ya hewa ,muda etc lakini pia kuna vitu kama usafiri unaotembelea. Wengi usafiri huwa unatuzuia kuvaa baadhi ya mavazi leo tumekuletea tips za namna ya kuvaa kama unatumia usafiri wa Umma.
Jinsi Ya Kutambua Umevaa Fake Clothes
una baadhi ya vitu vinatokea kwa kujua na kutokujua unamkuta mtu kanunua nguo expensive lakini ni fake sio tatizo lake hilo kwa sababu alikuwa hajui. Leo tunakuletea tips zaidi ya kujua umevaa fake clothes au lah. Zipo njia nyingi sana za kujua kwanza anza na…
How To Style A Tennis Skirt
Tennis skirt zina trend sana kwasasa, watu maarufu wengi wanazivaa lakini pia unaweza kukutana nazo madukani, unaweza kujiuliza Tennis Skirt ni nini, hizi ni skirt fupi zenye marinda ambazo mara nyingi huvaliwa na wacheza Tennis, lakini haimaanishi haziwezi kuvaliwa na wengine. Inawezekana unayo au una…
How To Fix Unflattering Outfit Problem
Kosa moja la kubwa ambalo watu hufanya wakati wa kuput outfit together ni kutozingatia uwiano wa mavazi na mwili. Hii ina maana gani? Kimsingi, ina maana kwamba uwiano wa mavazi yako hayapo balance, na kwa sababu hiyo, mavazi yako huenda yasionekane vile inavyotakiwa. Kuvaa na…
Dhambi 3 Za Fashion Inazofanywa Na Wanaume
Kwenye fashion mistakes ni ngumu sana kukosekana kwa sababu mbali mbali ambazo zinaweza kufanyika kwa kujua au kwa kutokujua. Wanaume wengi huwa wanafanya mistakes katika mionekano yao ya kila siku na hivyo upelekea kupunguza mvuto wa muonekano wote. Kuna makosa mengi sana ambayo yanapelekea kuharibu…
How To Fix Too Many Prints Outfit Problem
Mara nyingi huwa tunatafuta njia za kuwasaidia hasa katika mitindo na urembo na kwasasa turudisha segment ya AFsFashionFix, hapa tutakuwa tunaongelea matatizo mbalimbali ya mitindo na namna ya ku-fix na kuanza na segment hii tunaanza na How to Fix Too Many Prints Clothes Problem Wengi…
Anitha Closet Atuonyesha Namna Ya Kutumia Loops/Kamba Za Ndani Ya Nguo
Mara nyingi tunaponunua mavazi kuna vikamba uwaga tunakutana navyo, vikamba hivyo hukaa sehemu mbalimbali kutegemea na vazi lako, mara nyingi kwenye suruali au skirt zinakaa kiunoni na kama ni gauni au blouse huwa vinakaa maeneo ya kwapani. Wengi wetu huwa hatujui hivi vikamba vinakazi gani…
Namna Ya Kufanya Endapo Shati Lako Linaacha Uwazi Kifuani
una shirt, gauni au chochote ambacho unakipenda lakini unapatwa na tatizo la kutokufunga vyema, yaani vifungo vinafunga ila kuna nafasi inaachia na kusababisha usiwe comfortable na vile vya ndani kuonekana Wengi wetu tumezoea njia moja ambayo ni kufunga na pin sehemu ambayo imeachia lakini kuna…
VITU VITATU VYA KUFANYA WEEKEND HII
Finally weekend hii hapa kwa wengine wame choka na ku party usiku mzima lakini wale wenzetu na sisi ambao weekend ikifika tuna fikiria ku seat back, ku relax na kuto kufikiria chochote zaidi ya kula na kuangalia movies. lakini kuna wengine hawa tuna waita stylish…
Vitu Vitano Unavyoweza Kufanya Ku-level Up
Najua wengi wetu tumeenda shule kuna wale wadada ulisoma nao, wakati unasoma nao walikuwa the true definition of basic. Ukimuona hakutetemeshi hakutishi(wasemavyo waswahili). Basi umemaliza shule, miaka kadhaa imepita then katika pitapita zako unakutana nae au unaona picha yake mtandaoni, wakati mwingine hata rafiki anakutumia…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…