SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

Mitindo

Jinsi Ya Kutambua Umevaa Fake Clothes 

una baadhi ya vitu vinatokea kwa kujua na kutokujua unamkuta mtu kanunua nguo expensive lakini ni fake sio tatizo lake hilo kwa sababu alikuwa hajui. Leo tunakuletea tips zaidi ya kujua umevaa fake clothes au lah. Zipo njia nyingi sana za kujua kwanza anza na…

Mitindo

How To Style A Tennis Skirt 

Tennis skirt zina trend sana kwasasa, watu maarufu wengi wanazivaa lakini pia unaweza kukutana nazo madukani, unaweza kujiuliza Tennis Skirt ni nini, hizi ni skirt fupi zenye marinda ambazo mara nyingi huvaliwa na wacheza Tennis, lakini haimaanishi haziwezi kuvaliwa na wengine. Inawezekana unayo au una…

Mitindo

How To Fix Unflattering Outfit Problem 

Kosa moja la kubwa ambalo watu hufanya wakati wa kuput outfit together ni kutozingatia uwiano wa mavazi na mwili. Hii ina maana gani? Kimsingi, ina maana kwamba uwiano wa mavazi yako hayapo balance, na kwa sababu hiyo, mavazi yako huenda yasionekane vile inavyotakiwa. Kuvaa na…

Mitindo

Dhambi 3 Za Fashion Inazofanywa Na Wanaume 

Kwenye fashion mistakes ni ngumu sana kukosekana kwa sababu mbali mbali ambazo zinaweza kufanyika kwa kujua au kwa kutokujua. Wanaume wengi huwa wanafanya mistakes katika mionekano yao ya kila siku na hivyo upelekea kupunguza mvuto wa muonekano wote. Kuna makosa mengi sana ambayo yanapelekea kuharibu…

Mitindo

How To Fix Too Many Prints Outfit Problem 

Mara nyingi huwa tunatafuta njia za kuwasaidia hasa katika mitindo na urembo na kwasasa turudisha segment ya AFsFashionFix, hapa tutakuwa tunaongelea matatizo mbalimbali ya mitindo na namna ya ku-fix na kuanza na segment hii tunaanza na How to Fix Too Many Prints Clothes Problem Wengi…

Dondoo

VITU VITATU VYA KUFANYA WEEKEND HII 

Finally weekend hii hapa kwa wengine wame choka na ku party usiku mzima lakini wale wenzetu na sisi ambao weekend ikifika tuna fikiria ku seat back, ku relax na kuto kufikiria chochote zaidi ya kula na kuangalia movies. lakini kuna wengine hawa tuna waita stylish…

AfroTipAndTricks

Vitu Vitano Unavyoweza Kufanya Ku-level Up 

Najua wengi wetu tumeenda shule kuna wale wadada ulisoma nao, wakati unasoma nao walikuwa the true definition of basic. Ukimuona hakutetemeshi hakutishi(wasemavyo waswahili). Basi umemaliza shule, miaka kadhaa imepita then katika pitapita zako unakutana nae au unaona picha yake mtandaoni, wakati mwingine hata rafiki anakutumia…