Fahyvanny Is A Blue Mermaid Serving Looks On A Yatch
Socialiate Fahyma (Fahyvanny) amekuwa akitupa looks day after day yaani non stop slayage na leo ametupa look yake ya kumi ambapo amevaa hii corset mermaid blue strapless dress. Gauni imeshonwa na mbunifu kutoka Tanzani, we must say Fahyma looks gorgeous na mbunifu kajitahidi sana gauni…
Mavazi Yako Ya Kulalia Yanavyo Athiri Usingizi Wako
Kuvaa mavazi / nguo ambazo zinaachia wakati wa usiku ni muhimu hasa katika mzunguko wa damu lakini pia kuifanya ngozi ipumue, kuvaa mavazi yanayo bana kama tight, mavazi yenye elastic kiunoni au tops za kubana zinaathiri mzunguko wako wa damu na kutatiza uwezo wako wa…
How Macrida Joseph, Rio Paul & Noel Ndale Slaying The Streets Of Dubai
Watu maarufu wengi kwasasa wapo Nje ya Nchi huku wengi wao wakionekana wapo Dubai, kati ya wengi hao tumewaona stylist’s wakubwa kabisa kutoka Tanzania ambao ni marafiki wakiwa huko Dubai kwenye Vacation. Ikiwa ni ma stylist’s tukaona tuwaletee nini wamevaa kwenye Vacation yao na labda…
Roma Mkatoliki Kuhusu Mark Zugerberg Kuvaa Plain T-shirt
Mwanamuziki Roma Mkatoliki amechukua muda wake na kuandika kuhusu maisha na matumizi ya pesa, katika hoja yake kubwa aliliongelea ni kuhusu mmiliki wa kampuni za WhatsApp, Instagram,Meta na nyingine nyingi kuwa anavaa tu plain t-shirt na kula salad na maji. Tunaelewa Roma alikuwa anajaribu kuelimisha…
2022 Started On The Right Fashion Foot
Tayari tumeshaanza kuipenda 2022, tukiwa ndio kwanza kwenye siku ya nne ya mwaka tumeona watu maarufu mbalimbali wakiwa wamevalia mavazi yaliyotuvutia. kitu kikubwa zaidi tulichopenda kwenye mavazi haya ni kwamba yameshonwa hapahapa Tanzania na wabunifu wetu, hii inaonyesha tunavyoendelea tutaona mengi zaidi na wataendelea kukua…
Nana Akua Ado Strikes Again In Glitz Fashion Week
Nana Akua Ado ni actress na fashionista kutoka Nchini Ghana, Nana amekua aki-serve mitindo ya aina tofauti na ya kitofauti tunaweza kusema ni moja kati ya fashion icons kutoka Africa. Nana Aki-attend kwenye event yoyote lazima aache mark kutokana na mavazi yake. Muigizaji Kutoka Nigeria…
Zuchu Anahitaji Stylist ASAP
Kwa sasa mwanadada aneongelewa zaidi katika anga ya muziki ni Zuchu, amesainiwa hivi karibuni na WCB ikiwa chini ya mwanamuziki Diamond Platnumz. Zuchu anafanya vizuri na nyimbo zake lakini sehemu ambayo tunaona iko wrong ni upande wa fashion. Anaonekana anapenda fashion na anapenda kujaribu lakini…
Fashionista Sishkiki Akituonyesha Namna Ya Ku-slay Face Mask
Sishkiki ni moja kati ya fashionista wanao fanya vizuri katika upande wa fashion kwa sasa, week hii ametuonyesha namna ambavyo unaweza ku-slay outfit yako pamoja na face mask. Utakuwa unajiuliza kwanini face mask? kama ambavyo tunajua kwa sasa kuna janga la COVID-19 ambapo tumeshauriwa kukaa…
Meghan Markle Living In Colorful Outfits
Kama hukusikia habari kwamba Meghan Markle na mumemwe Prince Harry waliamua kuhama kutoka katika royal family na kuanza maisha yao binafsi basi leo ndio tunakujuza. Well katika maisha u-royal kuna vitu vingi unakatazwa kuanzia mavazi, urembo etc mfano: Bright Colors Are Necessity For The Queen…
Everything You Wanted to Know About Style Industry
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Nam laoreet, nunc et accumsan cursus, neque eros sodales lectus, in fermentum libero dui eu lacus. Nam lobortis facilisis sapien non aliquet. Aenean ligula urna, vehicula placerat sodales vel, tempor et orci. Donec molestie metus a sagittis…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…