How African Celebrities Slayed Valentines Looks
Jumanne ilikuwa siku ya wapendao na watu maarufu wengi walitumia siku hii kuwatakia wafuasi wao valentines njema huku wakionyesha mavazi waliyovaa siku hio na wengine ambao waliamua kufanya photoshoot kabisa. Well tumeona watu maarufu wengi kutoka Africa wakiwa wamependeza na mavazi yao, Nchi ambazo tumeona…
Reviewing The Kid You Know Album Release Looks
Jumamosi iliyopita ilikuwa album release ya msanii Marioo, ambapo aliamua kufanya event pale Mlimani City na kuhudhuriwa na watu maarufu na fans wake. Well kama kawaida yetu tuliangalia nani amevaa nini na Je kapendeza au lah? Bado tunaona kuna tatizo la kujua cha kuvaa kutokana…
Reviewing Haji Manara’s Birthday Party Looks
Its Capricorn season kwasasa watu walio zaliwa January wanasherekea kumbukumbu za siku za kuzaliwa kwao na mmoja kati yao ni Haji Sunday Manara a.k.a Dela Boss au El Buggati. Haji amefanya sherehe yake katika ukumbi uliopo Mlimani city, tupo hapa kukupa review ya nani alivaa…
New Year Looks From Celebrities
Wakati ndio kwanzaaaa tunauanza mwaka watu maarufu wameshaanza kuonyeshana makali katika style zao za mavazi, we are loving this energy seems like 2023 tutakua na more content, anyways tukiwa kwenye siku ya pili ya 2023 tumeshaona photoshoot na looks kadhaa kutoka kwa watu maarafu na…
Beauty Looks From Last Week
Kuna wakati watu maarufu wana serve beauty looks mpaka unatamani wasivute, na kuna wakati unaona makeup kwa mtu maarufu unajiuliza hii imefanywa bure au kulikuwa na some sort of discount? Well tuseme kwasasa tunaona wengi wanajitahidi na looks zao, makeup artist wanajitahidi kujua rangi na…
Try These Celeb Inspired Eid Makeup Looks
Sikukuu ya Eid inakaribia na inawezekana umeshapata vazi lako au bado unatafuta, mara nyingi huwa tunajiandaa kimavazi na vyakula na tunasahau kuhusu looks zetu usoni, kutona na kufunga kwa mwezi mzima, kuchoka na mapishi ya hapa na pale sikukuu hii inaweza kukuta ngozi yako ikiwa…
All The Looks From Malkia Wa Nguvu 2022
Malkia Wa Nguvu 2022 ilifanyika Jumamosi Machi 26, ambapo watu maarufu mbalimbali walihudhuria hafla hii. Tupo hapa kukuletea nani alivaa nini na je ilikuwa yes au no? Lavie Makeup dressed by Thee Red Label, Photo @20r_touchez,Mua @laviemakeup & Hair Hair @empress__lexygoodhair Dayna Nyange dressed by Dressed 👗 @designed_by_shuu, MUA…
Beauty Looks From Last Week
A round of applause kwa makeup artist na hair stylist wa Tanzania, we said it once and we will say it again makeup artist & hair stylist wanajitahidi sana katika kuhakikisha sekta yao inakua. Ukiachana na sekta hii kukua na kuwa na upcomings wengi bado…
Gigy Money Made A Wrong Choice Of Shoe Mistake
Viatu hucheza nafasi kubwa sana katika mavazi yetu, inawezekana ni kitu cha mwisho kukifikiria lakini ni kitu ambacho pia ukikikosea hata kama umependeza vipi lazima chenyewe kitatia doa hasa kama umevaa mavazi ambayo kiatu hiko kinaonekana. Kwasasa trend kubwa kwenye viatu vya mchuhumio ni viatu…
Celebrities Looks Over The Weekend
This week mitandao ya kijamii ilichangamka kutokana na watu maarufu mbalimbali ku-share picha zao katika account zao, wakiwa katika style mbalimbali za mavazi kuna ambao walikuwa casual, wengine walikuwa chic, wengine walikuwa wamehudhuria katika sherehe mbalimbali. Kama ilivyoada tupo hapa kukuletea nani alivaa nini na…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…