Hamisa Mobetto Hair Fail
Kila mmoja wetu ameshawahi kukutwa na hii hali uwe mtu wa kawaida au mtu maarufu lazima kuna siku unasukwa au kuweka hair do ambayo ni mbaya, week iliyopita tumemuona mwanamitindo, mfanyabiashara na mwanamuziki Hamisa Mobetto akiwa kwenye hafla ambayo alikuwa kama mgeni mualikwa. Hamisa alifika…
Iga Mishono Kutoka Kwa Hamisa Mobetto
Hamisa ni versatile yaani anabadilika kama kinyonga linapo kuja kwenye swala la fashion anaweza kuwa African leo na kesho ukamkuta Western na ni kitu kizuri tunasema confuse your enemy, Dunia isikuzoee na muonekano wa aina fulani kila siku. Leo tunakuletea mishono ya kidada ya kitenge…
Namna Ya Kufanya Endapo Shati Lako Linaacha Uwazi Kifuani
una shirt, gauni au chochote ambacho unakipenda lakini unapatwa na tatizo la kutokufunga vyema, yaani vifungo vinafunga ila kuna nafasi inaachia na kusababisha usiwe comfortable na vile vya ndani kuonekana Wengi wetu tumezoea njia moja ambayo ni kufunga na pin sehemu ambayo imeachia lakini kuna…
4 Work Outfit Ideas From Hamisa Mobetto
Ni week nyingine tena inayoenda kuanza, umesha jiandaa na nywele, kucha, mentally uko tayari kabisa kuianza week yako lakini tunajua namna ambavyo inaweza kuwa hectic katika kuchagua nini uvae kwenda kazini. Kama wewe ni mdada na unapenda kupendeza ila iwe kidada zaidi basi look hizi…
Date Outfit Ideas From Tanzanian Celebrity Couples
Iwe mnasheherekea Anniversary, Date Night au First Date utataka uonekane vyema (upendeze), outfit yako inafaa kuwa chic na picture perfect (you don’t want to post bad looks on the gram right?), well leo tunakuleta outfit ideas kwaajili ya dates aina mbalimbali ambapo ideas tumetoa kutoka…
Beauty Looks Spotted From Last Week
Kitu kimoja kuhusu ku-keep with celebrities ni kwamba hakuna kupoa wala kuboha, hasa katika swala la mitindo na urembo, mara zote huwa wanahakikisha kutu-update na mionekano yao na mara nyingi huwa wanapendeza sana. Week hii haikuwa na sherehe nyingi lakini hii haikuwazuia watu maarufu kupendeza…
Beauty Looks From Last Week
Last week glam code was soft and effortless, ikiwa week ilikuwa tulivu hakukuwa na event yoyote ya kuhudhuria watu maarufu walikuwa na look za kawaida ambazo ni za kila siku na sio zile za mitoko. Well ukiachana na makeup lakini pia tumeona ya nywele ikiwa…
Ramadhani Beauty Looks From Tanzanian Celebrities
Mwezi mtukufu wa Ramadhani umeanza na kama kawaida watu maarufu wengi huwa wanatupa looks za stara katika mwezi huu Mtukufu, kila mmoja anajitahidi kupendeza na looks zake za stara, tumewaona watu maarufu kadhaa wakiwa wamependeza na hijab zao na makeup pia, well ukifunga haimaanishi usipendeze….
Ombre Color Wig/Weaving Trend
Mpaka sasa hii ni moja ya trend kuiona mwaka huu wa 2023, mwaka umeanza na styles nyingi lakini ambayo tumeona ina jirudia hapa Nchini kwetu na Nje ya Nchi nii style ya ombre wig / weaving hair style. Ambapo style hii ni kwamba nywele inakuwa…
Beauty Looks From Last Week
Linapokuja swala la makeup watu maarufu huwa hawa-play games, the face must serve hata kama outfit itakuwa ya kawaida lakini sura lazima iwe vyema kabisa, iwe ni simple makeup au bold makeup look. Week iliyopita tumewaona watu maarufu mbalimbali waki-serve glam looks akiwepo Fahyma, Hamisa…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…