6 Beauty Looks From Last Week
Ukiachana na kwenda kwenye events, iwe photoshoot au kuamua tu kujipenda wenyewe watu maarufu wamekuwa wakituonyesha namna ambavyo makeup artist huwa wanacheza na nyuso zao. Tunapenda kwamba kila mmoja wao kapewa look yake binafsi na sio kila makeup ya huyu inafanana na huyu. Lakini pia…
Try These Celeb Inspired Eid Makeup Looks
Sikukuu ya Eid inakaribia na inawezekana umeshapata vazi lako au bado unatafuta, mara nyingi huwa tunajiandaa kimavazi na vyakula na tunasahau kuhusu looks zetu usoni, kutona na kufunga kwa mwezi mzima, kuchoka na mapishi ya hapa na pale sikukuu hii inaweza kukuta ngozi yako ikiwa…
Balmain On Hamisa Mobetto, Maua Sama & Macrida Joseph
2021 tuliona ambavyo watu maarufu wengi walikuwa wajirabu styles mbalimbali na ku-dare kuwa wa tofauti, tupo 2022 na tunajaribu kujua nini kitafuta lakini mpaka sasa tunaweza kusema tunapenda tunachokiona. Tumewaona Fashionista’s Hamisa Mobetto, Maua Sama na Macrida Joseph wakiwa wamevalia hizi outfits za Balmain ambapo…
Hamisa Mobetto Birthday Photoshoot Outfit Review
Hamisa Mobetto ameongeza mwaka mwingine tena & tunaweza kusema a girl is aging with grace. Hamisa alikuwa na 3 Birthday Photoshoots, na kama ilivyokuwa kawaida huwa tunaangalia mavazi na kama ni Yay or Nay Look ya kwanza ilikuwa ni hii sexy look, a simple dress…
Hamisa Mobetto Na Mahusiano Mapya, Wiz Khid Ayo Kwenye Cover Ya Vogue, Zari Under Wear Saga + More
Kama ilivyoada huwa tunawaletea habari zilizoshika headlines kwa upande wa fashion kwa week nzima, week hii tumeona habari nne ambazo zimeshika vichwa vya habari vingi. Mwanamitindo na fashion entrepreneur Hamisa Mobetto ameonekana kuwa na mahusiano mapya, mwanadada huyu ambae alionekana akiwa Dubai na Mwanamuziki Ricky…
Hamisa Mobetto, Elizabeth Michael & Jihan Dimack Serving Looks
Imekuwa muda toka tupate kuona watu maarufu wakitoka kwenda kwenye event usiku, seems like this week event zilikuwa nyinginyingi na wengi wali-attend, well we have 3 looks ambazo zimeonekana kupendwa na ku-trend sana katika mitandao ya kijamii. Tunae Elizabeth Michael ambae alivaa purple & gold…
3 Times Hamisa Mobetto Slayed In All White Looks
Wengi tunapenda ku-play safe na kuvaa black on black outfits, hii inatokana na kwamba ni rangi ambayo haileti attention nyingi, Hamisa Mobetto ameonekana kuwa tofauti kidogo yeye ametuonyesha namna ambavyo unaweza ku-slay ukiwa umevaa full white outfit wazungu husema “she wanted all the smoke” yaani…
Hamisa Mobetto, Sishkikii, Nengi & Others In Color Blocking Trend
Color Blocking Trend imerudi tena, watu maarufu na wabunifu mbalimbali wameonekana kuvutiwa na trend hii kwa kutuonyesha namna mbalimbali unavyoweza ku-color block na mavazi yako. Kuvaa mavazi yenye bold colors kuna faida mbalimbali ikiwepo: Kuboost mood yako Zinaongeza ufanisi katika siku yako Zinakufanya uwe noticed…
Celebrities Looks Over The Weekend
This week mitandao ya kijamii ilichangamka kutokana na watu maarufu mbalimbali ku-share picha zao katika account zao, wakiwa katika style mbalimbali za mavazi kuna ambao walikuwa casual, wengine walikuwa chic, wengine walikuwa wamehudhuria katika sherehe mbalimbali. Kama ilivyoada tupo hapa kukuletea nani alivaa nini na…
Reacting To Hamisa Mobetto’s Recently Looks
Did Hamisa Mobetto just broke the celebrities fashion code? Hiki ndio kitu tunataka kuona kwa watu maarufu wetu sio tu wa kike ila na Wakiume pia… Hamisa amevunja ile code ya kudress kama celebrity. Watu maarufu wengi hudhani unatakiwa kuvaa vitu vingi ili ustand out…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…