Corset Dress Mshono Unao-Trend Kwa Sasa
Kama unahudhuria harusi, una wedding reception, kitchen party au hata birthday party huu ndio mshono ambao unaonekana ku-trend kwa sasa Nchini kwetu na hata nje ya Nchi. Unaitwa Corset Dress, kama unajua ile mikanda huwa tunavaa kubana tumbo basi huu mshono upo inspired na ile…
Who Rocked It Better Hamisa Mobetto Or Chioma?
We love it tunapoona watu maarufu wamevaa nguo zinazofanana, no sio kwa sababu ya kuuliza nani kavaa vyema zaidi, bali wanatupa option ya kujua namna mbalimbali ambavyo unaweza ku-style mavazi hayo. Week hii kwenye Friday Fashion Battlefield tunao fashionistas wawili, Hamisa Mobetto kutoka Tanzania Vs…
The Ankle Wrist Bag Trend
Ukiachana na anklets, henna na tattoo kulikuwa hakuna namna nyingine ambayo unaweza ku-accessorize mguu wako lakini kwa sasa imeonekana unaweza kuvaa hizi ankle wrist bag na ukapendezesha mguu wako vizuri tu. Fashionista Siskikii Akituonyesha Namna Tofauti Za Kubeba Mini Bag Trend Hii trend tumeiona kwa…
Ramadhani Beauty Looks From Tanzania’n Celebrities
Mwezi Mtukufu wa Ramadhani umeanza, na kwa sasa watu maarufu mbalimbali wamebadilisha mionekano yao. Ikiwa wengi wanavalia mavazi marefu leo tumejaribu kuangalia looks zao za makeup. Tumewaona Zuchu, Queen Darleen, Hamisa Mobetto na Meena Ally wakiwa na makeup nzuri zilizo tulia tumewaletea hapa in case…
Hamisa Mobetto & Fahyma Are Giving Us Baby Fever With These Birthday Photo shoot’s
Hivi karibuni watoto wa watu maarufu Hamisa Mobetto na Fahyma walisheherekea siku zao za kuzaliwa, kama ilivyokawaida ya watu maarufu wengi hupiga picha na watoto wao kwa ajili ya kusheherekea kumbukumbu zao za kuzaliwa. Hamisa yeye alikuwa akisheherekea siku ya kuzaliwa ya mtoto wake wa…
Mishono Ya Kitenge Kutoka Kwa Hamisa Mobetto
Hamisa Mobetto amekuwa aki-slay left and right, inaonekana ametuandalia vingi mwaka huu wa 2021, kama una kitenge chako na unataka kukishona kwa ajili ya sherehe basi kuna hii mishono miwili kutoka kwa Hamisa ambayo tumeiona na wewe unaweza kuiga kushona kama utavutiwa nayo. Ni mishono…
Hamisa Mobetto, Tanasha Donna Na Marioo Kwenye Utility Belt Bag Trend
Utility Fashion inarudi kwenye trend zamani kulikuwa na mavazi yanaitwa Timberland ambapo yalikua na mifuko mifuko mingi. Inaonekana trend hii inarudi lakini kwa sasa hivisio tu kwenye mavazi bali na mikoba pia, tumeona wabunifu mbalimbali wakiwa wamebuni vitu kama boilersuits to vests, cargo pants na…
Beauty Looks Served From Last Week
New Day, New Week, Same Hustles.. Heri ya week mpya afromates na kama ilivyoada huwa tunaanza week kwa kuangalia week iliyopita kulikuwa na nini, nani amefanya vyema na nani ameharibu. Week hii tunaangalia mionekano ya nywele na makeup kutoka kwa watu maarufu mbalimbali akiwepo Hamisa…
4 Times Hamisa Mobetto Showed Us How To Rock Denim
Ni Ijumaa nyingine tena na tunakuletea segment ya Drip Vibe Check ambapo hapa tutakuwa tunaangalia outfit mbali mbali za wasanii na namna ambavyo wamezivaa. Since tumeanza segment mwisho wa week tumeona sio mbaya tukimleta mwanamitindo, video vixen, mwanamuziki lakini pia ni mjasiriamali Hamisa Mobetto. Leo…
Aunty Ezekiel, Lulu Diva, Hamisa Mobetto And Others In Statement Jewelry Trend
Urembo ni kitu muhimu kuwanacho hasa katika ku-elevate muonekano wako, wakati kuna aina nyingi za urembo ndogo ambazo hizi huwa zinavaliwa kama hutaki makelele mengi na zile kubwa ambazo zina draw attention. Well kwa sasa imeonekana watu maarufu wengi wanatumia statement accessories hasa katika photo…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…