Barua Ya Kufunga Na Kufungua Mwaka Kwa Wapenzi Wa Afroswagga
2019 tumeshuhudia ukuaji katika tasnia ya urembo, mitindo na ubunifu, muziki yaani sanaa kiujumla. Ubunifu katika kazi za wasanii wengi, uwepo wa talents toka kwa vijana wanaochipukia katika sekta mbalimbali iwe styling, photography, make up artistry, modelling pia fashion designing. Lengo kuu la Afroswagga sio…
Wateja Wanachangia Kudumisha Sekta Ya Mitindo Nchini
Imekuwa kawaida yetu kuchukua muda kutafuta nini kinakwamisha Tasnia ya mitindo Nchini na nini kifanyike ili kuondoa changamoto hizi zinazosababisha kudorora kwa sekta hii mahsusi duniani kote. Mara nyingi tumekuwa tukilalamikia stylists na wabunifu kuhusu kukosa ubunifu na upekee katika kazi zao, wabunifu wanacopy (kunakili)…
Zawadi Ni Zawadi Miss Mbeya 2019 Kupewa Zawadi Ya Pikipiki
“Zawadi Ni Zawadi” Miss Mbeya 2019 Kupewa Zawadi Ya Pikipiki, wengi wakiwa wameshangazwa na kitendo hiki, ikiwa tumezoea kuona ma’miss wanapewa zawadi kama magari, pesa taslim nakadhalika, Mbeya mwaka huu wameamua kutoa pikipiki. Sisi kwetu tunasema zawadi ni zawadi, anaweza kuhsindwa kukitumia yeye kama yeye…
Namna Ambavyo Media Personalities Wanaweza Kuleta Ushawishi Katika Mitindo
Moja kati ya watu ambao Nchi za wenzetu wanawatumia katika kuleta ushawishi wa mitindo kwenye jamii ni media personalities, kwa kusema media personality hapa tunamaanisha wale watu maarufu katika media yaani watangazaji, wale ambao wamepata umaarufu kupitia kitu fulani wamefanya kama washindi wa michezo fulani…
Tunahitaji Fashion Influencers Kukuza Fashion Industry Ya Tanzania
Moja kati ya vitu ambavyo vina angusha industry ya fashion Tanzania ni kukosa fashion influencers na hapa hatumaanishi celebrities au stylist, hawa ni wale watu wa kawaida tu ambao wanapenda mitindo, hawa huwa wakati wengine tunawaita fashionista’s ni wale watu ambao wanaweza kuvaa vazi la…
Fashion Stylist Mjifunze Kutoka Kwa Makeup Artist & Hair Stylist
Leo kwenye indusrty talk tunaongelea kuhusu makeup artist na hair stylist kutoka Tanzania, hawa watu ni marketing genius mnaweza kujiuliza kwanini, Makeup artist na hair stylist huwa ni watu wa kwanza kumpokea upcoming yoyote anayechipukia katika sanaa na kubadilisha muonekano wake kabla hajaonekana na fashion…
Kwanini Tunakuza Wanamitindo Masikini?
Tukiwa tunaingalia Tasnia ya mitindo na urembo unaweza kuona wanamitindo (models) wana play part kubwa sana kukuza Tasnia yetu hii, Wabunifu wanawatumia wao kutangaza kazi zao, makeup artist vile vile, hair stylist pia, wanamuziki wanawatumia haohao models lakini kwa bahati mbaya ndio watu ambao hawana…
Barua Ya Kufunga Na Kufungua Mwaka Kwa Wapenzi Wa Afroswagga
Mwaka 2018 umeweza kuwa wa mafanikio makubwa mabapo tumeona tasnia ya urembo, mitindo na ubunifu ikizidi sogea mbele. Twaweza sema hapa tulipo si sawa na miaka 5 nyuma na hakika tujipongeze kwa hili. Tasnia ya urembo, mitindo na ubunifu yawakutanisha watu wengi wakiwemo wabunifu wa…
Wanamitindo 8 Walifanya Vizuri 2018
Slay, baby, slay. Tasnia ya mitindo, tukifocus katika modeling imetoka mbali, enzi za Miriam Odemba na Frank Gonga na twaiona ikiendelea kukua ikiwa na machipukizi wengi wazuri kama Smayra Mohammed na Symon Poluse. Stylist, Fashionistas, Photographer & Makeup Artist Tunaotegemea Makubwa Kutoka Kwao 2019 2018…
Stylist, Fashionistas, Photographer & Makeup Artist Tunaotegemea Makubwa Kutoka Kwao 2019
Tasnia ya mitindo na ubunifu yaendelea kukuwa na tumeona fashionistas, stylists, photographers, accessories designers na wengine wengi wakikuwa na kuweza kututeka na kazi zao. Mwaka 2018, majina yafuatayo tuliweza yaona katika kazi za mitindo, ubunifu ama kurasa za mitandao ya kijamii wakiwa na kazi nzuri…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…