Wasanii Jifunzeni Kutoka Kwa Jlo, Lagy Gaga Na Demi Lovato
Jana ilikuwa siku ya kuapishwa kwa rais mpya wa marekani Dr. Joe Biden, watu maarufu mbalimbali walialikwa kutumbuiza katika sherehe hiyo. Watu kama Lady Gaga, Jennifer Lopez na Demi Lavato walitumbuiza katika siku hio, na kilicho tuvutia mpaka tukafikia kuandika hili andiko ni mavazi yao….
Toke Makinwa Na Mbunifu Tolu Bally Wategemee Kupelekwa Mahakamani Na Versace
Imekuwa kawaida sasa kwa wabunifu kuwa wana copy-iana kazi zao, sikuhizi hatuiti copying bali tunasema kuwa inspired, hivi karibuni brand ya Versace imewashtaki brand ya Fashionnova kwa ku-copy hili gauni ambalo ni Iconic dress kutoka katika brand yao. Fashionnova Yashtakiwa Na Versace Kwa Kucopy J…
Fashionnova Yashtakiwa Na Versace Kwa Kucopy J Lo’s Iconic Jungle Print Dress
Imekuwa kawaida ya kampuni za fast fashion ku-copy design za wabunifu wakubwa na kuziuza kwa bei ya chini, moja ya makampuni yanayasifika kwa kufanya hivi ni Fashionnova. Watu maarufu mbalimbali wamekuwa wakilalamikia hii tabia ya brand hii mmoja ya watu maarufu ambao walijitokeza na kuwasema…
Judith Leiberny Stack Of Cash Clutch Ndio Accessory Pendwa Kwa Sasa
Watu maarufu wananamna ya kufanya vitu vi-trend, kuna season ambapo unakutana na kitu cha aina fulani kimevaliwa au kubebwa na asilimia kubwa ya watu maarufu hapo ndipo unajua hichokitu kina trend kwa sasa. Na season hii ambacho tumekiona kinatrend ni hii clutch kutoka kwa mbunifu…
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…