A Sneak Peek Into Jojo Gray’s Perfume Collection
Unapovaa na kupendeza unatakiwa ku-take kunukia serious pia, huwezi kuwa umevaa unavutia halafu ukisogelewa unanukia personal (lol), moja kati ya slayer mzuri kabisa Tanzania mwanadada Jojo Gray ametuonyesha ni kiasi gani yupo serious kwenye swala la kuvaa na hygienne. Kupitia insta story yake Jojo alishare…
Beauty Looks Spotted Last Week
Kuna ule msemo unasema face card never decline, week hii tumeona watu maarufu wengi wakiwa kwenye mionekano mizuri ambapo wengi wame serve face na makeup zao pamoja na hair styles za kuvutia Ambacho kinatuvutia kwasasa ni kwamba watu wengi maarufu wamejua umuhimu wa makeup na…
Mishono Ya Vitenge Kutoka Kwa Fashionista Mbalimbali
Inawezekana una kitenge chako hujui ushone nini au una event inakuja na sare ni kitenge na bado hujajua mshono gani ushone, leo tunakuletea mishono mitatu mikali kutoka kwa Jojo Gray, Elizabeth Michael na Muna Love Muna aliserve akiwa amevalia hii mermaid dress kutoka kwa Allie…
Best Dressed Celebrities From Last Week
Week iliyopita kulikuwa na sherehe mbalimbali kuanzia sikukuu ya Eid, Birthday’s na harusi, watu maarufu walihudhuria shughuli mbalimbali na wengi wao walivaa kwa kupendeza. Leo tunakuletea wale ambao tuliona wamependeza na unaweza kuiga mshono kutoka kwao Tumemuona muigizaji Elizabeth Michael ambae alishehereka 28th Birthday yake…
Shoes We Spotted Last Week
Tunajua vazi halikamiliki bila ya viatu na viatu vinaweza kufanya vazi lako liwe zuri au viharibu, mara nyingi huwa tunasahau hili swala kwamba viatu vina play part kubwa katika mionekano yetu. Week iliyopita watu maaru mbalimbali iwe ni fashionista’s, wanamuziki au waigizaji walipost picha zao…
Jojo Gray On Being A Mom & Keeping It Stylish
Tunamjua kama Jojo Gray lakini jina lake kamili ni Joan D Gray, mwanadada aliyejipatia umaarufu kutoka na style zake za mavazi (fashionista) tumepata nafasi ya kufanya nae interview na kutueleze mambo mbalimbali kuhusu mitindo na urembo Afs: Tuanze Na Historia Yako Kwa Ufupi. Jojo: my…
Makeup Looks Spotted Last Week
Last week kulikuwa na mengi kuanzia birthday za watu maarufu mbalimbali, mitoko ya hapa na pale na wengine waliamua tu kujipendezesha. Well tumeona kwasasa watu maarufu wengi hawapost full looks lakini wanahakikisha kupamba page’s zao katika mitandao ya kijamii kwa ku-post beauty looks zao. Week…
Quen Linna Totoo VS Jojo Gray
Another Fashion Battle Field, hii segment tunawaletea Fashionista’s mbalimbali wa kiume na wa-kike ambao wamevalia mavazi yanayofanana na mtachagua nani ame-style vazi hilo vizuri zaidi. Week hii tunae Fashionista Jojo Gray na wifi yetu kutoka kwa mwanamuziki Dogo Janja, Quen Linna Totoo wakiwa wamevalia hii…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…