Jojo Gray Vs Julitha Kabete
Jojo na Julitha ni fahionista’s wanaofanya vyema sana hapa nyumbani, ikiwa Julitha ana tuwakilisha South Africa, Jojo yeye yupo hapahapa na anaendeleza mapigano ya mitindo vizuri kabisa. Week hii tupo nao kwenye segment ya Fashion Battle Field ambapo hapa tunaweka wale waliovaa mavazi yaliyofanana na…
6 Best Looks We Spotted Last Week
The girls been serving looks, from casual to occasional wear, week iliyopita tumewaona watu maarufu mbalimbali wakiwa kwenye mionekano mbalimbali kutokana na sehemu walizokuwa wanaenda, as usual wengi wao walikuwa wamependeza kuanzia nywele, makeup, accessories, mavazi mpaka viatu wazungu husema head to toe. Baadhi ya…
Get To Know Black Tie Theme For Beauty Legacy Gala Tanzania 2020
Hii inaweza kuwa too little too late kwa sisi kuandikia inawezekana umeshaandaa nguo yako ya kuvaa kesho kwenye Beauty Legacy Gala Tanzania 2020, lakini tumeona ni vyema kutoa hii Elimu kabla baadhi yenu hamjatoka na kuharibu theme ya watu Black Tie Attire Theme – Ki…
Mid December Looks We Spotted From Tanzania Celebrities
December ni mwezi wa mapumziko, wengi hutumia mwezi huu kukaa na familia zao, lakini pia shopping na slayage huwa zinafanyika sana. Hii ni baadhi ya mionekano tuliyoiona toka mwezi huu uanze na ikatuvutia Msanii wa bongo fleva Faustina Charles Mfinanga A.K.A Nandy akiwa amevalia orange…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…