Date Outfit Ideas From Juma Jux And Karen Bujulu
The weekend is here inawezekana una plans za kutoka na mwenza wako, lakini hujui uvae nini unapoenda, well kuna date’s za aina tofauti tofauti kuna za casual, business na zile romantic zote hizi zina mitoko yake kutokana na sehemu mnayoenda. Leo tunawaangalia couple mpya kabisa…
Reviewing The Kid You Know Album Release Looks
Jumamosi iliyopita ilikuwa album release ya msanii Marioo, ambapo aliamua kufanya event pale Mlimani City na kuhudhuriwa na watu maarufu na fans wake. Well kama kawaida yetu tuliangalia nani amevaa nini na Je kapendeza au lah? Bado tunaona kuna tatizo la kujua cha kuvaa kutokana…
5 Tips To Look Sexy In A Shirt
kuna vitu vidogo vidogo ambavyo mwanaume unaweza kufanya ukaonekana smart, stand out na kuleta mvuto katika muonekano wako, wengi wetu hudhani huitaji kupendeza kwani wewe ni “mama” lol now days wadada wanavutiwa na wakaka walio smart. Leo tunakuletea tips 5 za kuonekana sexy ukiwa umevalia…
Clogs Are The It Shoes For The Moment
Clogs zinzaonaka kuanza kuzipoteza crocs, tofauti kubwa ya clogs na crocs ni kwamba clogs zimekaa kipedezee kidogo zinapatikana in leather au suede materials na zinamunekano fulani unaweza kuvaa zikaonekana vizuri kuliko crocs ambazo zimekaa casual zaidi. Kwasasa zinaonekana ku-trend sana hasa kwa upande wa wanaume,…
Kuna Tofauti Kubwa Kati Ya Kutengeneza Na Kuunda
Kupitia Account yake ya Instagram Mbunifu wa mwanamuzi Juma Jux, Mgombelwa Brand awataka wabunifu wenzie kujua tofauti ya kutengeneza na kuunda, mbunifu huyo ambae alipost video ya Jux akiwa amevalia vazi alilolibuni kwakutumia hereni na leather huku akiandika maneno haya Well Afromates tulishamuona Harmonize akiwa…
Jacqueline Mengi, Juma Jux, Gigy Money And Elizabeth Michael Serving In Black
Week iliyopita rangi nyeusi imeonekana kutamba mno, watu maarufu mbalimbali wameonekana wakiivalia well who wouldn’t wakati kunamsemo unasema “Black And White Always Look Modern”. Tumewaona watu maarufu kama Jacqueline Mengi, Juma Jux, Gigy Money Na Elizabeth Michael wakiwa kwenye black outfits Jacqueline Mengi yeye alivaa…
Diamond Platnumz, Juma Jux And Harmonize In Durag Trend
Durag imeanza miaka mingi ambapo ilianza kutumika kama symbol ya black power movement kipindi cha Utumwa. Kwa sasa inatumika kuvaliwa kama urembo ambapo imeonekana kutumika na wasanii wengi maarufu wa Nje na Ndani ya Nchi. Kwa sasa inaonekana ku-trend Nchini kwetu ambapo baadhi ya wasanii…
Otile Brown, Tanasha Donna & Juma Jux New Music Cover Review
Week imkuwa nzuri wasanii mbalimbali wametoa nyimbo, yes tunasema week imekuwa nzuri kwa maana na huku kukaa ndani halafu playlist ileile unaweza kuhisi uchizi. Wasanii kutoka Kenya Tanasha Donna ametoa wimbo mpya wakati na Otile Brown yeye ametoa album wakati kwetu Tanzania Juma Jux Ft…
Jokate Mwegelo, Martin Kadinda, Juma Jux Na Hemedy PHD Suited Up
The streets are giving us sharp looks in suit, tumeona watu maarufu mbalimbali wakiwa wamevalia vazi hili. Kila mmoja wapo alipendeza na vazi hili, tumependa touch’s walizo ziongezea kwenye mionekano yao lakini pia namna ambavyo suit hizi ziliwakaa. Jokate looking sharp in Ki2pe suit. Juma…
Socks And Sandals Trend For Men
Trend ambayo kwa miaka ya karibuni tumejionea kwa wakaka wengi ni pale wanapovaa socks na sandals ama slippers ambapo ina hisia tofauti toka kwa watu mbalimbali katika mitindo. Wanamuziki wengi tumejionea wakivalia hivi styling it with a comfy pair of sweta pants, track suits ama…
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…