Looks From Met Gala 2023
The event ambayo huwa inasubiriwa sana kila mwaka ni Met Gala, hii event huwa inaitwa “fashion’s biggest night out” watu maarufu huwa wana dress kutokana na theme za event hio na mwaka huu ilikuwa “Karl Lagerfeld: A Line of Beauty”na Dress code ni “In honor…
Kim Kardashian Kikaangoni Tena
Mfanyabiashara Kim Kardashian ameingia kwenye headlines tena kwa kuharibu Marilyn Monroe’s Iconic dress aliyoivaa kwenye Met Gala ya mwaka huu, kama una kumbukumbu nzuri Kim Kardashian alisema amejikondesha ili tu atoshe kwenye gauni hio, lakini ikaja kusikika kwamba hakuweza kuingia na gauni ilichanika ikabidi avalie…
Kim Kardashian Asema Anaweza Kula Kinyesi Ili Aonekane Kijana
Kim Kardashian anonekana kuto-kuslow down even after kupeana talaka na mumewe Kanye West ( The true definition ya ni kuoga na kurudi kwa soko), mwanadada huyu sio tu ana mpenzi mpya bali pia amezindua biashara mpya ya vipodozi vya ngozi ambavyo ameviita SKKN by Kim…
Kourtney Kardashian & Travis Barker’s Wedding In Italy
Finally Kourtney Kardashian na Travis Barker wamefunga ndoa huko Portofino, Italy. Kourtney na Travis walishafunga ndoa lakini ya kwanza ilikuwa ile normal one ambayo ilikuwa tu na watu wachache ila hii ya Italy ni pamoja na ndugu, jamaa na marafiki. Wedding theme ilikuwa Goth, watu…
The Kardashian Took Over Italy For Kourtnrey & Travis’s Wedding
Hii ndio ile hayawi hayawi mbona yamekuwa, haolewi mbona kaolewa. Kourtney Kardashian ni dada mkubwa wa The Kardashian ambae wengi hatukudhani kama sikumoja tutakuja kuona harusi yake but here we are. Well Kourtney ameshaolewa na mwanamuziki Travis Barker kwasasa wapo Italy kwaajili ya sherehe yao,…
Kim Kardashian Na Gloves Beach
Seems like Kim K ametu-prove kwamba ni wakati wa kusema bye bye kwa trend ya gloves, its been too much kila mtu kuvaa gloves mpaka sehemu zisizotakiwa kuvaliwa gloves. Pamoja na kuaminika na kuheshimika katika ulimwengu wa mitindo jana mwanadada huyu ametuacha mdomo wazi kwa…
Rihanna, Kim Kardashian, Macrida Joseph In Pelvic Cutouts Trend
Wakati Puff Sleeve zikiendelea ku-make headlines seems like zitapumzika hivi karibuni na Pelvic Cutouts kuchukua nafasi yake. Watu maarufu mbalimbali wameonekena kuvutiwa na trend hii ambayo ni kuwa na cut out kwenye maeneo ya kiunoni ya vazi. Well tumewaona watu maarufu kutoka Nchi za Nje…
Looks From Met Gala 2021
Wenyewe huwa wanaiita “fashion’s biggest night out,” the Met Gala 2021 ni fundraising benefit for the Metropolitan Museum of Art in New York City. Mwaka huu wa 2021 Theme ya event hii ilikuwa “In America: A Lexicon of Fashion, theme hii honors anything and everything…
Kim Kardashian Blonde Eye Brows
Kim K amekuwa ananew look, ambapo ameamua ku-breach eye brows zake. Hii si mara ya kwanza kwa Kim kufanya hivi amekuwa aki-breach eye brows zake pale ambapo ana photoshoot au anapotaka kubadilisha muonekano wake. Kupitia Instagram story yake Kim alituonyesha alivyoweka breach mpaka alipoitoa na…
Aunty Ezekiel And Queen Darleen Channeling Their Inner Kim K In These Pregnancy Outfit
Wanadada Aunty Ezekiel Na Queen Darleen ni wajawazito kwa sasa, na wote wameonekana kujipenda katika ujauzito wao na wamekua wakituonyesha mionekano tofauti tofauti. Week hii wote wawili walikuwa kwenye hafla ambazo walihitajika ku-dress up Aunty alikuwa na uzinduzi wa reality tv show yake inayoitwa “MAMA…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…