Cute Valentine Day Nail Art Ideas
Kuwa na mpenzi, mume au kutokuwa nae haikuzuii kujipendezesha siku ya valentines, kama wewe ni mmoja kati ya watu wanaosheherekea siku hii. Wengi huwa wanaseherekea siku hii kwa kutoka na wawapendao, familia, wapenzi au kutoka wenyewe, kupeana zawadi na kuvaa mavazi mekundu kama ishara ya…
Dondoo 3 Za Rangi Ya Kucha Kwa Vifundo Vya Vidole (Knuckles) Vyeusi
Kuna wale ambao wamezaliwa na vifundo vya vidole vyeusi naturally lakini kuna wale ambao vinasababishwa na kemikali kwa kutumia cream za kujichubua. Vyovyote ambavyo wewe umepata hizi knuckles nyeusi basi leo tupo hapa kukupa tips za rangi gani upake ili kuendana na hali hii. Epuka…
Kung’ata Kucha Hupoteza Haiba Ya Urembo Wako
Ingawa inawezekana wengine wakaona kitu cha ajabu, lakini ukweli ni kwamba kukata kucha kwa meno ni jambo linalofanywa na watu wengi. Ni wazi kuwa si muda wote utakuwa na uhakika kuwa mikono yako ni safi na salama, hivyo inaweza kusababisha kujitafutia magonjwa ambayo yanaweza kuzuilika….
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…