Anti Age Skin Care Tips
Hakuna anaetaka kuzeeka wengi wetu tunapenda kuonekana vijana daima, tukiwaona watu maarufu ambao wana umri mkubwa halafu ngozi zao bado nzuri hazijajikunja huwa tunawaza wanafanya nini au wamewezaje kuwa na ngozi nzuri vile, well leo tunakuibia siri ya wao wanawezaje, Well fuatisha hizo tips na…
Ni Muda Gani Usubiri Kupaka Makeup Baada Ya Kupaka Skin Care?
Kuwa na skin care routine is no joke, hasa pale ambapo ni mfanyakazi unahitaji kuamka mapema na hata kama umechoka usiku inabidi usipande kitandani mpaka uhakikishe umepaka night skincare yako. Sasa kuna kile kipengele cha asubuhi unataka kuwahi kwenye mihangaiko yako na unatakiwa upake skincare…
Tips Za Kupata Ngozi Nzuri
Kupata ngozi nzuri yenye kuridhisha ni janga, na hii hutokana na maswala mbalimbali kama tunavyokula, ukuaji, tunavyovitumia na mengine mengi. Lakini unaweza kupata ngozi nzuri endapo tu utajaribu kufanya mambo haya manne; Usitumie Bidhaa Za Ngozi Nyingi Wengi wetu tuna hii tabia unatumia kipozi hiki…
Namna Ya Kujali Ngozi Yako Ukiwa Na Miaka 30
Mchakato wa ngozi kuanza kuzeeka huanzia ukiwa na miaka 20, japo katika miaka hii huwa haitokei sana. Lakini tunapofikia kwenye miaka 30 kwenda mbele kunakuwa na mabadiliko makubwa kama cell turnover slows down na kufanya ngozi zetu kuwa rahisi kupata chunusi, hyperpigmentation, milia, & uneven…
Namna Ya Kupata Ngozi Ng’avu Kiasili
Sote tunapenda ngozi ng’avu, lakini hatujui nini cha kutumia tuwe tu wang’avu bila ya kuchubua ngozi zetu, kama ukienda kwenye maduka yavipodozi utasikia wadada wengi wana taka kipodozi cha kuwang’aza lakini kwa bahati mbaya wengi wetu tunakosea hili neno kwa kuwa mweupe, mtu anapo sema…
Huwezi Kupata Ngozi Nzuri Kwakuwa Na Skincare Routine Tu
Watu wengi wamekuwa wakipotea hapa, tunakesha kuuliza kuhusu skin care routine za wengine, tunakesha kutafuta vipodozi vizuri vya bei ghali, inawezekana tukapata hivyo vipodozi lakini bado ngozi zetu zikaendelea kuwa na hali mbaya, kwakuwa tunasahau kwamba skincare routine ni moja ya sehemu 3 za kupata…
Tofauti Ya Lightening Na Brightening Katika Vipodozi
Kuna mkanganyiko mkubwa juu ya vipodozi vya ngozi ambavyo vinadai kuang’aza na / au kung’arisha ngozi, mara nyingi ikisoma katika maelekezo ya vipodozi hivi unaweza kukuta vimeandikwa lightening ( Kung’aza) Au Brightening ( Kung’arisha) hapa wengi huwa tunaona ni kitu kimoja lakini kumbe ni vitu…
Kwanini Upake Vipodozi Kwa Mpangilio Maalum
Inawezekana unavipodozi ambavyo vinafanyakazi vizuri tu lakini huoni matokeo mazuri katika ngozi yako, hii hutokana na sababu mbalimbali lakini sababu moja wapo ni kutokupaka vipodozi hivi kwa mpangilio mzuri. Kutokana na ushauri wa wataalamu “Inatakiwa uanze kupaka vipodozi ambavyo ni light weight ( vyepesi) ili…
Skin Do & Don’ts
Kuna vitu vidogo sana lakini ukiacha kuvifanya na kuna ambavyo ukivifanya vinaweza kuleta impact kubwa katika ngozi yako. Vitu vya kufanya: Kunywa Maji Safisha ngozi yako ya uso mara mbili, hii namaanisha osha uso wako mara mbili kila ambapo unaosha uso. Exfoliate taratibu Zingatia lishe…
Umuhimu Wa Kusoma Lebo Katika Vipodozi
Wengi wetu tunatumia vipodozi mbalimbali katika ngozi zetu, iwe kwa kuondoa kitu fulani au kukifanya kiwe bora zaidi. Imezoeleka kuwatunanunua vipodozi hivi kwa mazoea iwe kwa kuambiwa au kushauriwa na dakitari. Mara nyingi huwa tunasahau kusoma lebo na kuona hakuna umuhimu kwa sababu tu kipodozi…
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…