How Macrida Joseph, Rio Paul & Noel Ndale Slaying The Streets Of Dubai
Watu maarufu wengi kwasasa wapo Nje ya Nchi huku wengi wao wakionekana wapo Dubai, kati ya wengi hao tumewaona stylist’s wakubwa kabisa kutoka Tanzania ambao ni marafiki wakiwa huko Dubai kwenye Vacation. Ikiwa ni ma stylist’s tukaona tuwaletee nini wamevaa kwenye Vacation yao na labda…
Nandy Vs Macrida Who Rocked It Better
Leo kwenye who rocked it better tunae mwanamuziki Nandy pamoja na stylist Macrida Joseph, tume wa-spot wawili hawa wakiwa wamevalia S Colorful Striped Halter Chic Backless Jumpsuit. Nandy amevalia jumpsuit hii akiwa amemalizia na pixie cut hair style, big hoop earings na simple makeup wakati…
Balmain On Hamisa Mobetto, Maua Sama & Macrida Joseph
2021 tuliona ambavyo watu maarufu wengi walikuwa wajirabu styles mbalimbali na ku-dare kuwa wa tofauti, tupo 2022 na tunajaribu kujua nini kitafuta lakini mpaka sasa tunaweza kusema tunapenda tunachokiona. Tumewaona Fashionista’s Hamisa Mobetto, Maua Sama na Macrida Joseph wakiwa wamevalia hizi outfits za Balmain ambapo…
3 Ways To Style Short Part Suit
Katika pitapita zetu kwenye mitandao ya kijamii tumekutana na hii style ambayo tumeona ina trend kwa sasa na hii ni suit ya vikaptula. Suit ambazo zimezoeleka ni zile za skirt na suruali ndefu, japo suit za kaptula zipo miaka na miaka lakini ni mara chache…
Rihanna, Kim Kardashian, Macrida Joseph In Pelvic Cutouts Trend
Wakati Puff Sleeve zikiendelea ku-make headlines seems like zitapumzika hivi karibuni na Pelvic Cutouts kuchukua nafasi yake. Watu maarufu mbalimbali wameonekena kuvutiwa na trend hii ambayo ni kuwa na cut out kwenye maeneo ya kiunoni ya vazi. Well tumewaona watu maarufu kutoka Nchi za Nje…
Images From Ally Rehmtullah Kwetu Kwetu 2020 Event
Jumamosi iliyopita mbunifu Ally Rehmtullah alikuwa na event iliyoitwa Kwetu Kwetu ambapo alituonyesha collection yake ya kufungia mwaka. Ally huwa anatoa collection moja tu kwa mwaka na huwa anaifanyia event kubwa kabisa. Mwaka huu alikuwa na hii kwetu kwetu collection. Well tumekuletea picha za matukio…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…