Mahaumes Aongelea Kuhusu Kufanya Kazi Na Jokate Mwegelo
AFS: Tunaomba Tukujue Kwa Ufupi Mahaumes: Jina langu ni Mahaumes Patron born and raised in Dar. Started designing in 2017 AFS: Je Inspiration Behind Ile Gauni Ni Nini? Mahaumes: Inspiration yetu ilikua ni to present a woman in different ways like she can be working…
Zuchu Ending The Year In Mahaumes Red Dress
Leo ndio siku ya mwisho ya mwaka 2020, phew finally a new phase & new goals. Well mwanamuziki kutoka katika brand ya Wasafi ameona asituache tumalize mwaka bila ya kutuaga, Zuchu ameonekana kwenye hii mermaid dress kutoka kwa mbunifu Mahaumes. Zuchu aliacha gauni iongee alivaa…
Celebrities Are Living Fresh From The Runway Life
Hatujui kama tuiite trend au ni muamko kutoka kwa watu maarufu, kwa sasa tumeweza ku-spot watu maaruufu wakiwa wamevalia mavazi kutoka kwa wabunifu wa hapahapa Nchini tena yakiwa yametoka straight from the runway. Kwa hii trend/muamko sisi tunaufurahia kwa muda mrefu tumekuwa tukitamani wabunifu na…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…