6 Celebrities Beauty Looks From Last Week
From bold and neutral looks there are ni shortage of makeup looks from Instagram, kila kona unayopita utakutana na mtu maarufu amepaka makeup yake na kupendeza vilivyo, hakuna ambae anapenda kuonekana hovyohovyo now days kila mtu anajua umuhimu wa makeup katika muonekano wake. Week iliyopita…
Beauty Looks Spotted Last Week
Kuna ule msemo unasema face card never decline, week hii tumeona watu maarufu wengi wakiwa kwenye mionekano mizuri ambapo wengi wame serve face na makeup zao pamoja na hair styles za kuvutia Ambacho kinatuvutia kwasasa ni kwamba watu wengi maarufu wamejua umuhimu wa makeup na…
Beauty Looks Spotted From Last Week
Kitu kimoja kuhusu ku-keep with celebrities ni kwamba hakuna kupoa wala kuboha, hasa katika swala la mitindo na urembo, mara zote huwa wanahakikisha kutu-update na mionekano yao na mara nyingi huwa wanapendeza sana. Week hii haikuwa na sherehe nyingi lakini hii haikuwazuia watu maarufu kupendeza…
Beauty Looks From Last Week
Last week glam code was soft and effortless, ikiwa week ilikuwa tulivu hakukuwa na event yoyote ya kuhudhuria watu maarufu walikuwa na look za kawaida ambazo ni za kila siku na sio zile za mitoko. Well ukiachana na makeup lakini pia tumeona ya nywele ikiwa…
Celebrities Eid Beauty Looks
Jumamosi ilikuwa ni sikukuu ya Eid ambapo waislam wamemaliza kufunga mfungo wa Ramadhani na kusheherekea sikukuu hii, kama ilivyo kawaida watu maarufu wengi huwa wanapost picha zao katika mitandao ya kijamii kuwatakia wafuasi wao sikukuu njema. Na icho ndicho kilichotokea sikukuu hii ya Eid ambapo…
Beauty Looks Spotted From Last Week
Ukiachana na matatizo madogo madogo waliyo nayo makeup artist wanakazi kubwa sana katika kuwaweka watu maarufu katika hali nzuri hasa upande wa sura, kizuri zaidi ni namna sasa hivi wanapatia rangi za makeup kuendana na rangi ya mteja lakini pia kujua makeup gani inaendana na…
Celebrities Beauty Looks We Spotted Last Week
As we kick into April tumeona watu maarufu mbalimbali wakiimaliza March wakiwa wamependeza na makeup zao, week iliyopita haikuwa week yenye events sana kwaio makeup ambazo tumeziona ni zile makeup casual zisizo na kelele nyingi, kikubwa tumeona watu maarufu wakiwa wamefanya photoshoot au wakiwa wanatangaza…
Ramadhani Beauty Looks From Tanzanian Celebrities
Mwezi mtukufu wa Ramadhani umeanza na kama kawaida watu maarufu wengi huwa wanatupa looks za stara katika mwezi huu Mtukufu, kila mmoja anajitahidi kupendeza na looks zake za stara, tumewaona watu maarufu kadhaa wakiwa wamependeza na hijab zao na makeup pia, well ukifunga haimaanishi usipendeze….
Beauty Looks From Last Week
Linapokuja swala la makeup watu maarufu huwa hawa-play games, the face must serve hata kama outfit itakuwa ya kawaida lakini sura lazima iwe vyema kabisa, iwe ni simple makeup au bold makeup look. Week iliyopita tumewaona watu maarufu mbalimbali waki-serve glam looks akiwepo Fahyma, Hamisa…
Beauty Looks Spotted Last Week
One thing ambayo watu maarufu kwasasa huwezi kuwakuta wakiwa hawaja pendezesha nyuso zao, they always bring the A game when it comes to makeup and skincare, well week iliyopita tumewaona Irene Uwoya, Wema Sepetu, Tessy Chocolate, Jihan Dimack, Meena Ally na Batuli wakiwa kwenye makeup…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…