Vanessa Mdee And Rotimi Revealed Their Expecting A Baby Boy On People’s Magazine
Mwanamziki Vanessa Mdee Au Vee Money na mpenzi wake Rotimi, wamewekawazi kwamba wanatarajia kupata mtoto wa kiume katika feature yao kwenye gazeti kubwa la People Magazine. Katika interview yao wameweka wazi kwamba wanatarajia kupata mtoto wa kiume, na kwamba zimebaki week chache mpaka kujifungua mtoto…
Siyabunny’s Serving Maternity Style Goals
Kwetu tumezoea ukiwa mjamzito basi ni madera madera na wewe, sio mbaya inawezekana ndio tunakua comfortable na haya mavazi, lakini kwa wenzetu wengine ni tofauti inawezekana sio kila siku lakini kilawanapo pata muda wa ku-slay wanaslay kisawasawa na ujauzito wao. Leo tunamuona Fashionista kutoka South…
Aunty Ezekiel And Queen Darleen Channeling Their Inner Kim K In These Pregnancy Outfit
Wanadada Aunty Ezekiel Na Queen Darleen ni wajawazito kwa sasa, na wote wameonekana kujipenda katika ujauzito wao na wamekua wakituonyesha mionekano tofauti tofauti. Week hii wote wawili walikuwa kwenye hafla ambazo walihitajika ku-dress up Aunty alikuwa na uzinduzi wa reality tv show yake inayoitwa “MAMA…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…