Bold And Stylish Suit Looks From Last Week
Week iliyopita hakukuwa na mambo mengi sana hasa upande wa watu maarufu wakike Nchini, lakini kwa wakaka inaonekana kama wamepania mwaka huu, well tumeona baadhi ya watu maarufu wakiume ambao walikuwa wamevalia suit zikiwa bold na ku-make statement kwa namna moja au nyingine. Tumemuona mbunifu…
Escapade Collection By Martin Kadinda
Mbunifu Martin Kadinda ameachia collection yake iitwayo Escapade huko Mawemawe Manyara, tumepata muda wa kuongea na kufahamu machache kuhusu collection hii, AFS: The escapade collection-unaweza tuelezea inspiration behind it? Martin: Mostly my collection are inspired by the work of art, from fabric prints, nature and…
Martin Kadinda Ashauri Warembo Kuhusu Mikataba
Ikiwa bado tupo kwenye sintofahamu kuhusu nani atashiriki Miss World kati ya Rosey Manfere na Juliana Rumugisa. mbunifu Martin Kadinda ametoa maoni au ushauri wake kwa warembo katika Tasnia hii ya mitindo. Akihojiwa na Iamchombo kutoka Zamaradi Tv, Martin aliulizwa kuhusu sakata hili la Miss…
Best Dressed At I Am Zuchu Event
Its been a while toka Tanzania tuwe na event kubwa ambayo imewakutanisha wasanii mbalimbali pamoja, Jumamosi kuikuwa na event ya msanii kutoka katika label ya wasafi classic baby Zuchu ambapo alikuwa anatoa shukrani kwa mapokezi aliyoyapata. Kwanza tuanze kwa kusema finally, tumepata event ambayo red…
Rio Paul’s Virtual Global Birthday Soiree Fashion Review
Tukiendelea kuchukua tahadhari elekezi katika kujikinga na COVI19, tuliweza sheherekea birthday ya Tanzania’s male fashionista and stylist, Rio Paul kupitia his social media online. The virtual global birthday soiree haikuweza kamilika bila the best fashion statements and Afro’s review. Rio Paul A happy birthday it…
Jokate Mwegelo, Martin Kadinda, Juma Jux Na Hemedy PHD Suited Up
The streets are giving us sharp looks in suit, tumeona watu maarufu mbalimbali wakiwa wamevalia vazi hili. Kila mmoja wapo alipendeza na vazi hili, tumependa touch’s walizo ziongezea kwenye mionekano yao lakini pia namna ambavyo suit hizi ziliwakaa. Jokate looking sharp in Ki2pe suit. Juma…
Celebrities Are Living Fresh From The Runway Life
Hatujui kama tuiite trend au ni muamko kutoka kwa watu maarufu, kwa sasa tumeweza ku-spot watu maaruufu wakiwa wamevalia mavazi kutoka kwa wabunifu wa hapahapa Nchini tena yakiwa yametoka straight from the runway. Kwa hii trend/muamko sisi tunaufurahia kwa muda mrefu tumekuwa tukitamani wabunifu na…
Martin Kadinda Debuted She Gentle Collection At Swahili Fashion Week
Mbunifu Martin Kadinda amedebut collection ya “She Gentle” Katika jukwaa la Swahili Fashion Week, ikiwa ni collection ya kwanza ya Just Mk Collection kuwa debuted. Collection ilikuwa ina looks mbalimbali za kiume na za kike, ambapo alichagua rangi ya pink katika collection yake hio. Martin…
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…