Wasafi Festival Looks In Songea
Mpaka sasa wasafi festival imeshapita sehemu tatu ambapo walianza na Mtwara, wakaenda Ruangwa na week hii tumewaona wakiwa Songea, na tupo hapa kuongelea looks za recently ambayo ni Songea, utajiuliza kwanini tumeruka Ruangwa, sababu ni moja tu hakukuwa na looks za kuziongelea sana. Songea wasanii…
Otile Brown Afichua Jewelry Mpya Za Mbosso Ni Fake
Kenyan’s wamekuwa wakitu-blast sana mwaka huu,ikiwa hatujapoa na vuguvugu la Khaligraph Jones na Rappers wa Tanzania, mwanamuziki kutoka Kenya Otile Brown amefichua kwamba zile Jewelry mpya za Mbosso ni fake pia, tumesema ni fake pia maana alisema kwenye caption yake No More Fake Isht. Otile…
Reviewing Wasafi Festival Looks In Mtwara
Wasafi festival imeanzana opening ya hii festival mwaka huu imeanzia mtwara ambapo ilifanyika usiku wa kuamkia jumamosi, as ni event kubwa na ni ya kwanza tukawa na expectations kubwa ya kwamba looks zitafunika huko, huwa tunajua kitu cha kwanza na cha mwisho huwa tunapania lakini…
Bold And Stylish Suit Looks From Last Week
Week iliyopita hakukuwa na mambo mengi sana hasa upande wa watu maarufu wakike Nchini, lakini kwa wakaka inaonekana kama wamepania mwaka huu, well tumeona baadhi ya watu maarufu wakiume ambao walikuwa wamevalia suit zikiwa bold na ku-make statement kwa namna moja au nyingine. Tumemuona mbunifu…
Mbosso Serving Legs In A Lace Look
Wanasema “Style is like music, we all create our own tune” kila mtu anachaguo lake linapokuwa kwenye swala zima la style na mavazi, wakati wengine wakiamua kuwa lowkey, wengine wakitupia mitoko according to fashion rules, wengine wao wanaamua kuwa daring na kutoka kitofauti zaidi. Well…
Je Ni Sawa Kwa Mwanaume Kupaka Henna?
Tumezoea kuona wanawake tu wakiwa ndani ya michoro ya henna ambapo kwa wanaume huwa tunawaona wachache ambao hata hao wachache huwa wanapaka kwenye kucha na vidole vichache tu. Lakini imekuwa tofauti kidogo kwa Mwanamziki Mbosso kutoka Tanzania na Jidenna kutoka Nigeria ambao wao walienda extra…
Patoranking, Ebuka And Mbosso Serving In Monochrome Mint Looks
What can we say? African men are coming through hard linapokuja swala la fashion na week hii tumewaona watu maarufu kama Mbosso, Pantoranking na Ebuka wakiwa wamevalia full look za rangi ya mint na tumependa tunachokiona like okay brothers shine on us. Panto yeye alivaa…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…