Otile Brown Afichua Jewelry Mpya Za Mbosso Ni Fake
Kenyan’s wamekuwa wakitu-blast sana mwaka huu,ikiwa hatujapoa na vuguvugu la Khaligraph Jones na Rappers wa Tanzania, mwanamuziki kutoka Kenya Otile Brown amefichua kwamba zile Jewelry mpya za Mbosso ni fake pia, tumesema ni fake pia maana alisema kwenye caption yake No More Fake Isht. Otile…
Must Have accessories For Men
Wanaume wengi hawajui essential accessories kwa ajili ya mionekano na hawafahamu kuwa accessories husaidia kuinua muonekano wao katika siku husika kwa kukamilisha outfit yako.Essential accessories for menWengi wanajiuliza zipi ni essential accessories kwao ambazo haupaswi kukosa kuwa nazo katika kabati lao. Zifuatazo ni essential accessories…
Davido & Ommy Dimpoz Wearing The Van Cleef And Arpels Bracelets
Kama ni mmoja ya wapenda accessories basi utakuwa umeshakutana nazo nyingi sasa hivi hizi bracelets au mikufu na pete zina-trend sana. Tunakutana nazo kwenye maduka mbalimbali huku bei zake zikiwa za kuridhisha lakini Je unajua kwamba hizi accerries original yake ni kutoka katika brand kubwa…
Juma Jux New Accessorie The “Crystal Embellished Flask Bottle”
Kuna ule msemo unasema “If You Know You Know” yaani kama unajua anajua, na moja kati ya watu maarufu wanaojua hasa upande wa fashion basi ni Juma Jux. Juma mara zote huwa anajaribu ku-stand out na wengine ana style zake za peke yake na ni…
Nuh Mziwanda Serving In Customized Hoop Earrings
Unadhani umeyaona yote? basi tukwambie tu Dunia bado haijamalizana na wewe mpaka pale yenyewe itakapo malizana nawe, tumezoea kuona hizi hereni kwa wasanii maarufu wakike kama Zuchu, Jennifer Lopez, Nicki Minaj na wengine wengi, hereni hizi ni za duara kubwa na katikati huwa zinaandikwa chochote…
Big Pendant Necklace’s Are The New Choker’s
Wenzetu huwa wanasema “Go Big Or Go Home”, inaonekana wasanii wetu wanalitilia mkazo hili kwasasa linapokuja swala zima la mikufu na vidani vyake. Tumeona wasanii mbalimbali kutoka Africa wakiwa wanavalia mikufu yenye vidani vikubwa vyenye maandishi au picha mbalimbali inategemea na mapenzi yake. Kwetu Tanzania…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…