Weusi Showing Us How To Rock Colorful Suit’s
Kundi la wana hiphop kutoka Arusha liitwalo “Weusi”, kundi hili limeunganishwa na wanachama wanne Niki Wa Pili, Lord Eyes, Joh Makini Na G Nako Warawara. Weusi wametuonyesha namna ambavyo unaweza kuvaa colorful suit kwa wanaume, ambapo walipost picha yao kwa pamoja wakiwa wamevalia suit za…
Master Jay Serving Minimalist Style
Producer wa muziki Master Jay ameonekana kuwa na style mpya, kama hukua unajua Master Jay alikata nywele rasta zake kwa sababu zake binafsi kwa sasa ananyoa tu nywele fupi. Seems like hajafanya mabadiliko haya kwenye nywele tu bali na kabati lake. Kwa sasa tumeona anapenda…
Je Ni Sawa Kwa Mwanaume Kupaka Henna?
Tumezoea kuona wanawake tu wakiwa ndani ya michoro ya henna ambapo kwa wanaume huwa tunawaona wachache ambao hata hao wachache huwa wanapaka kwenye kucha na vidole vichache tu. Lakini imekuwa tofauti kidogo kwa Mwanamziki Mbosso kutoka Tanzania na Jidenna kutoka Nigeria ambao wao walienda extra…
Resego Motlhokathari Kutoka Ghana Ame Break Internet Na Hii Half Kaftan Half Suit Outfit
Mavazi ni namna ya kuji-express namna ambavyo unajisikia, wakati kuna wengine wanapenda kuonekana kawaida, wengine extra na wengine hutumia mitindo kutoka kabisa nje ya box ( hawa ndio huitwa fashion icon) Japo kuna namna ambavyo imezoeleka mavazi yavaliwe na ukitoka nje ya hapo walimwengu watakushangaa…
Patoranking, Ebuka And Mbosso Serving In Monochrome Mint Looks
What can we say? African men are coming through hard linapokuja swala la fashion na week hii tumewaona watu maarufu kama Mbosso, Pantoranking na Ebuka wakiwa wamevalia full look za rangi ya mint na tumependa tunachokiona like okay brothers shine on us. Panto yeye alivaa…
Aina Za Tai Na Mavazi Yanayoendana Nazo
Kwa kijana ambaye hupenda unadhifu na kutaka kupendeza katika kila aina ya tukio basi hatoweza kuwa na tai chache katika kabati lake. Twaona tai mara nyingi zimezoeleka kuvaliwa maofisini na katika sherehe na kukaririwa tai lazima ivaLiwe na suti. Well leo tutawaelezea aina za tai…
Diamond Platnumz, Juma Jux And Harmonize In Durag Trend
Durag imeanza miaka mingi ambapo ilianza kutumika kama symbol ya black power movement kipindi cha Utumwa. Kwa sasa inatumika kuvaliwa kama urembo ambapo imeonekana kutumika na wasanii wengi maarufu wa Nje na Ndani ya Nchi. Kwa sasa inaonekana ku-trend Nchini kwetu ambapo baadhi ya wasanii…
Wasanii Wa Kiume Na Upofu Wao Katika Black Kwenye Nywele
Kama ambavyo wanawake wanapenda kujiremba siku hizi tunaona wanaume nao wanakuja kwa kasi katika kujiweka smart. Well tunaona kwao kwa sasa hii style ya kuweka black kwenye nywele ndio imeshika kasi, kila msanii wa kiume anaweka black kichwani, kitu ambacho sio dhambi lakini ugomvi wetu…
Fally Ipupa Wore Louis Vuitton Monogram Admiral Jacket That Cost $6,550
Mwanamuziki kutoka Dr Congo, Fally Ipupa alihudhuria katika Tuzo za Afrimma 2019 akiwa amevalia jacket kutoka katika brand ya Louis Vuitton. Tuliliona jacket hili katika runway ya Louis Vuitton, ikiwa mbunifu Virgil Abloh alipresent his Fall 2019 collection huko mjini paris Kama kawaida tulitaka kujua ilimgharimu shilingi ngapi…
Round of Applause For These Fashionable Tanzanian Men
Kwenye fashion highlight za week hii tuna wanaume hawa kutoka Tanzania ambao tuliwaona wamevaa na kupendeza hasa week iliyopita, ni mara chache kuona wanaume wakichukua taji la kuwa wame-own the week kwa kuwa fashionable na week iliyopita ni moja kati ya week ambayo tuliona looks…
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…