Bold And Stylish Suit Looks From Last Week
Week iliyopita hakukuwa na mambo mengi sana hasa upande wa watu maarufu wakike Nchini, lakini kwa wakaka inaonekana kama wamepania mwaka huu, well tumeona baadhi ya watu maarufu wakiume ambao walikuwa wamevalia suit zikiwa bold na ku-make statement kwa namna moja au nyingine. Tumemuona mbunifu…
Nuh Mziwanda Serving In Customized Hoop Earrings
Unadhani umeyaona yote? basi tukwambie tu Dunia bado haijamalizana na wewe mpaka pale yenyewe itakapo malizana nawe, tumezoea kuona hizi hereni kwa wasanii maarufu wakike kama Zuchu, Jennifer Lopez, Nicki Minaj na wengine wengi, hereni hizi ni za duara kubwa na katikati huwa zinaandikwa chochote…
5 Tips To Look Sexy In A Shirt
kuna vitu vidogo vidogo ambavyo mwanaume unaweza kufanya ukaonekana smart, stand out na kuleta mvuto katika muonekano wako, wengi wetu hudhani huitaji kupendeza kwani wewe ni “mama” lol now days wadada wanavutiwa na wakaka walio smart. Leo tunakuletea tips 5 za kuonekana sexy ukiwa umevalia…
Kuna La Kujifunza Kutoka Katika Sakata La Kizz Daniel
Ukiachana na kwamba Kizz Daniel amezingua kutokupanda kwenye show ambayo alilipwa na Wananchi walishatoa viingilio, lakini pia ametuonyesha ni namna gani watu maarufu kutoka Nigeria wapo makini na mionekano yao. Kizz ambae alitakiwa kutumbuiza Jumapili iliyopita alionekana kushindwa kutokea eneo husika kutokana na kwamba bag…
Bijoux Trendy On Working With Ali Kiba
Bijoux ni moja ya wabunifu tulio nao Nchini ambao wapo tofauti kabisa, ikiwa wengi wame base kwenye mavazi ya sherehe na wengine wakiwa kwenye material za kizungu yeye anafanya batiki na mavazi ya ni ya day wear, hivi karibuni tumemuona mwanamziki Ali Kiba akiwa amevalia…
Otile Brown Flaunting His $695 Balenciaga Crocs Boots
Mwanamuziki kutoka Kenya, Otile Brown ambae amesheherekea siku yake ya kuzaliwa jana ameonekana akifungua / Unboxing zawadi ambayo ni Balenciaga Crocs Boots zinazouzwa $695 sawa na Tsh 1,610,315.00/- Oh well kama ni mpenzi wa fashion utajua hizi crocs boots zimekuwa zikitamba mtandaoni na ni Kanye…
Hans Tone Rocking Black Nail Polish
Dhana za kusema kupaka rangi katika kucha ni Uanamke zimepita sasa hivi wanaume nao wanapaka rangikucha zao, by the way kupaka rangi kucha kumeanza miaka mingi tangu enzi za ma’babu zetu kwaio sio kitu kigeni bali tu hapa katikati swala hili liliachwa kwakua iliaminika urembo…
Big Pendant Necklace’s Are The New Choker’s
Wenzetu huwa wanasema “Go Big Or Go Home”, inaonekana wasanii wetu wanalitilia mkazo hili kwasasa linapokuja swala zima la mikufu na vidani vyake. Tumeona wasanii mbalimbali kutoka Africa wakiwa wanavalia mikufu yenye vidani vikubwa vyenye maandishi au picha mbalimbali inategemea na mapenzi yake. Kwetu Tanzania…
Rangi Za Suit Unazoweza Kuvaa Mwanaume Ukiachana Na Nyeusi Na Navy Blue
Wanaume wengi hawapendi kuvaa mavazi yenye rangi rangi mara nyingi rangi zao wao ni zile zilizopoa hasa hazina kelele nyingi, Kwa upande wa vazi la suit wanaume hupendelea kuvaa rangi nyeusi, navy blue, khakhi au rangi nyingine zilizopoa lakini kumbe inawezekana wao kuvaa rangi za…
Mbosso Serving Legs In A Lace Look
Wanasema “Style is like music, we all create our own tune” kila mtu anachaguo lake linapokuwa kwenye swala zima la style na mavazi, wakati wengine wakiamua kuwa lowkey, wengine wakitupia mitoko according to fashion rules, wengine wao wanaamua kuwa daring na kutoka kitofauti zaidi. Well…
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…