Mohamed Dewji Rocking The Dior Oblique Shirt And Dior Granville Loafers
Ukiachana na Mo Dewji kuwa anavaa suit mara kwa mara kuna zile siku ambazo huwa anaamua kuwa relaxed na mionekano yake, kama ambavyo tumemuona na hii look aliyopost kwenye account zake za mindao ya kijamii akiwa amevalia Dior oblique short sleeve shirt. white trouser akamalizia…
Jux & Ommy Dimpoz Being The Fashion Duo We Deserve
Kuna combination nyingi sana zinatengenezwa katika mambo ya entertainment but kuna duo ya Jux na Ommy dimpoz ni moja ya duo bora kuwahi kutokea katika upande wa fashion kwa music artist’s. Nadhani wote tunajua kuwa Jux ni moja ya mwanamuziki wanaopendeza sana ila hauwezi kumsahau…
6 sexy color combos for men
Color ni muhimu sana katika outfits zako na watu wengi hawajui kutengeneza color combination ambazo zitakufanya uchukue full attention kwa audience ambayo imekuzunguka. Kama unavyojua color combination inasaidia sana kutengeneza muonekano ambao unavutia mbele za watu. Leo tungependa sana kukuletea color combination ambazo mwanaume ukijaribu…
Dhambi 3 Za Fashion Inazofanywa Na Wanaume
Kwenye fashion mistakes ni ngumu sana kukosekana kwa sababu mbali mbali ambazo zinaweza kufanyika kwa kujua au kwa kutokujua. Wanaume wengi huwa wanafanya mistakes katika mionekano yao ya kila siku na hivyo upelekea kupunguza mvuto wa muonekano wote. Kuna makosa mengi sana ambayo yanapelekea kuharibu…
Juma Jux New Accessorie The “Crystal Embellished Flask Bottle”
Kuna ule msemo unasema “If You Know You Know” yaani kama unajua anajua, na moja kati ya watu maarufu wanaojua hasa upande wa fashion basi ni Juma Jux. Juma mara zote huwa anajaribu ku-stand out na wengine ana style zake za peke yake na ni…
Men Swim Wear Essentials
Linapokuja suala la kufurahia siku pembezoni mwa bahari au kuogelea, chagua vazi linalofaa la kuogelea na ni muhimu sana kwa starehe, mtindo pia kujiamini. Leo mavazi ya kuogelea ya wanaume yamebadilika zaidi na hii inampa option mwanaume kulingana na mapendeleo yake.Tuchunguze chaguo bora zaidi za…
Nahreel Navykenzo & Asap Rocky In Double Belt Trend
Moja kati ya trend za zamani ambazo zinarudi kwasasa ni kuvaa double belt (mikanda miwili), miaka kadhaa nyuma tuliona watu maarufu wakiume na wa kike wakiwa wamevalia hii trend na mwaka jana mwishoni tuliona fashion houses mbalimbali zikipitisha models wao kwenye runway wakiwa wamevaa mavazi…
Cyrill Kamikaze Talks About Fashion & Hygiene
Cyrill ni moja kati ya wanamuziki wanaofanya vyema katika kazi zao lakini pia ni moja kati ya wale wachache wenye kujipenda na kuvaa vyema, tumepata nafasi ya kuzungumza nae machache kuhusu mitindo na usafi kwa wanaume, AFS: Wengi tunakujua kama Cyril, tuambie kuhusu wewe background…
Idris Sultan MisMatched Shoes Saga
Muigizaji, mchekeshaji, radio host na mshindi wa Big Brother Africa-Hotshots, 2014 Idris Sultan amekuwa gumzo huko mitandaoni kutokana na uchaguzi wake wa viatu katika hafla ya Uwekezaji Day 2023 amabyo iliandaliwa na bank ya CRDB. Idris alikuwa moja kati ya waalikwa katika hafla hio na…
Bold And Stylish Suit Looks From Last Week
Week iliyopita hakukuwa na mambo mengi sana hasa upande wa watu maarufu wakike Nchini, lakini kwa wakaka inaonekana kama wamepania mwaka huu, well tumeona baadhi ya watu maarufu wakiume ambao walikuwa wamevalia suit zikiwa bold na ku-make statement kwa namna moja au nyingine. Tumemuona mbunifu…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…