Nahreel Navykenzo & Asap Rocky In Double Belt Trend
Moja kati ya trend za zamani ambazo zinarudi kwasasa ni kuvaa double belt (mikanda miwili), miaka kadhaa nyuma tuliona watu maarufu wakiume na wa kike wakiwa wamevalia hii trend na mwaka jana mwishoni tuliona fashion houses mbalimbali zikipitisha models wao kwenye runway wakiwa wamevaa mavazi…
Noel Ndale Aandamwa Kwa Kuvaa Kivazi Aina Ya Crop Top
Crop tops are making their way back, ikiwa watu wengi kwasasa wanafanya mazoezi na kuwa na flat tummy’s tumeona wanapenda kuonyesha matumbo yao kwa kuvaa na crop tops. Tumewaona watu maarufu kama Noel Ndale, Ally Rehmtullah, Lady Jay Dee, Sishkiki na Aunty Ezekiel wakiwa wamevalia…
Nuh Mziwanda Serving In Customized Hoop Earrings
Unadhani umeyaona yote? basi tukwambie tu Dunia bado haijamalizana na wewe mpaka pale yenyewe itakapo malizana nawe, tumezoea kuona hizi hereni kwa wasanii maarufu wakike kama Zuchu, Jennifer Lopez, Nicki Minaj na wengine wengi, hereni hizi ni za duara kubwa na katikati huwa zinaandikwa chochote…
Kuna La Kujifunza Kutoka Katika Sakata La Kizz Daniel
Ukiachana na kwamba Kizz Daniel amezingua kutokupanda kwenye show ambayo alilipwa na Wananchi walishatoa viingilio, lakini pia ametuonyesha ni namna gani watu maarufu kutoka Nigeria wapo makini na mionekano yao. Kizz ambae alitakiwa kutumbuiza Jumapili iliyopita alionekana kushindwa kutokea eneo husika kutokana na kwamba bag…
Hans Tone Rocking Black Nail Polish
Dhana za kusema kupaka rangi katika kucha ni Uanamke zimepita sasa hivi wanaume nao wanapaka rangikucha zao, by the way kupaka rangi kucha kumeanza miaka mingi tangu enzi za ma’babu zetu kwaio sio kitu kigeni bali tu hapa katikati swala hili liliachwa kwakua iliaminika urembo…
Rangi Za Suit Unazoweza Kuvaa Mwanaume Ukiachana Na Nyeusi Na Navy Blue
Wanaume wengi hawapendi kuvaa mavazi yenye rangi rangi mara nyingi rangi zao wao ni zile zilizopoa hasa hazina kelele nyingi, Kwa upande wa vazi la suit wanaume hupendelea kuvaa rangi nyeusi, navy blue, khakhi au rangi nyingine zilizopoa lakini kumbe inawezekana wao kuvaa rangi za…
Diamond Platnumz Is Obsessed With His Metal Waist Belt
Sote huwa tunakile kitu ambacho tunakipenda sana kwenye mavazi haiwezekani ukapitisha week bila ya kukivaa, wengine huwa tunaitaga kauka nikuvae wengine huwa wanaviita vigaga. “Tuseme tu sio dhambi wala crime kuwa na kigaga chako” Kwa msanii maarufu Diamond Platnumz imeonekana kauka nikuvae yake ni hii…
Multicolor Suit Trend For Men
Kwasasa kinacho trend katika upande wa mavazi kwakina kaka ni suit zenye rangi zaidi ya moja, sio zile ambazo tumezoea kuona suit nyeusi, pink, blue etc. Hizi zinakuwa ombre, suit inakuwa na rangi zaidi ya moja. Tumeipenda hii trend hasa pale inapovaliwa proper na rangi…
2 Times Ebuka Wore Front Slit Trousers
Slayer mwanaume kutoka Nigeria Ebuka ameonekana ku-set new bars kwa wanaume kwa kuvaa hizi suruali zenye mpasuo mbele. Design hii ya suruali tumeziona sana kwa fashionista’s wengi wa kike lakini kwa mara ya kwanza tumeona kwake akiwa amevalia kama mwanaume. Mara ya kwanza alivalia na…
Burna Boy In Men Purse Trend
Mwanamuziki kutoka Nigeria Burna Boy ameonekana kuvutiwa na trend ya men purse, hii trend imeanza kuonekana mwishoni mwa mwaka jana. Ambapo tuliwaona wanamuziki na watu maarufu mbalimbali wa kiume wakiwa wamevutiwa na trend hii mmoja wapo akiwa Diamond Platnumz. Men Purse Trend By Diamond Platnumz…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…