Looks Were Served At Tiwa Savage’s Father’s Burial
Kuna aina mbalimbali za utamaduni na kwa wenzetu Nigeria, wana utamaduni tofauti katika misiba kwetu sisi misiba huzuni lakini kwao ni sherehe kubwa tu. Mwanamuziki Tiwa Savage amemzika baba yake jana kwa sherehe kubwa na watu maarufu mbalimbali walihudhuria, well as we all know Nigerian’s…
Mshono Wa Kitenge Unao-trend
Kitu kimoja kuhusu kitenge ni huwa hakipitwi na wakati kama ambavyo zilivyo fabric nyingine kama polka dot, stripes kitenge kipo toka enzi na enzi na kinashonwa kutokana na era iliyopo. Leo tunawaangalia watu maarufu mbalimbali ambao wao wametuonyesha namna ya kuvaa kitenge kwa mshono huu…
Kamshono Kutoka Kwa Spice Diana
Wanasema kizuri kula na nduguyo na sisi tukaona ndugu zetu msipitwe na vizuri, katika pitapita zetu tukakutana na mwanamuiziki kutoka Uganda Spice Diana akiwa amevalia hii statement puff sleeve kitenge dress. Ambayo tumeona inaweza kuwafaa na wengine ambao wanapenda nguo za kushona. Ambapo alimalizia look…
Mishono Ya Kitenge Kutoka Kwa Fashionista Mbalimbali
Kiukweli sisi tunapenda tunapoona Fashionista wakitumia vitenge katika mavazi yao, Yes si kwamba tu wanatupa mishono bali pia wanatangaza vya kwetu. Tumewaona fashionista hawa watatu kutoka Tanzania, South Africa na Nigeria wakiwa wamevalia mavazi ya kitenge na tukaona tukuletee hapa labda unaweza kuona mshono utakaoupenda…
Mishono Ya Kitenge Kutoka Kwa Wema Sepetu, Cyrill Kamikaze Na Jacqueline Mengi
Tumeanza mwezi wa April na we can already seeย mwezi huu umeanza ki-Africa zaidi, watu maarufu wengi wameonekana kuvaa mitindo ya ki-Africa. Kitenge kimekuwepo kwa miaka na ni mara chache unaweza kuona watu maarufu wamevaa kitenge tena ikiwa kwa mfululizo lakini week hii imeonekana kitenge…
Nomzamo Mbatha Slaying Kitenge Dress At The 10th Annual WASHGala
Nomzamo Mbatha ni moja kati ya fashionistas kutoka South Africa, count on her kwenye swala zima la ku-show up na ku-shut down. Week iliyopita tumemuona akiwa amehudhuria katika 10th Annual Washgala na we couldn’t let this outfit pass. Alivaa hii mermaidmixing prind kitenge dress ambayo…
Namna Ambavyo Fashionista Wanaslay Mishono Ya Kitenge
Gucci, Channel, Fendi for what? Move over sababu kitenge kimeanza kuchukua nafasi once again,na fashionista’s kutoka sehemu mbalimbali wanatuonyesha umahiri wao wa ku-slay mishono hii ya kitenge Muigizaji na fashionista kutoka Ghana,ย Nana Akua Addo tulim-spot akiwa katika hii kitenge jumpsuit ambayo tumependa jinsi ilivyo kuwa…
Iga Mshono Kutoka Kwa Hamisa Mobetto
Well spirit ya ku-slay kwenye harusi za watu haija ishia 2018, we are carrying that same energy to 2019 pia. leo tumemuona muigizaji, mwanamitindo na kwa sasa ni mwanamuziki Hamisa Mobetto akiwa amevali hili gauni ambalo tumeona linaweza kukufaa katika sherehe yako ijayo uwe mgeni…
Its African Designers Time, From Beyonce, Janet Jackson, Tyra Bank And Many More
Tuko hapa tukiangalia namna ambavyo wabunifu kutoka Nchi za Africa yaani majirani zetu wakiwavalisha watu maarufu wakubwa wenye influence kubwa Duniani, wakati sisi tukiendelea kuwa ndugu watizamaji. Kama ulikuwa hujui basi ngoja tukujuze, mwaka huu umekuwa na revolution kubwa kwa watu maarufu kutoa support kwa…
Namna 3 Za Kustyle Kitenge Chako Inspiration Kutoka Kwa Blogger Jackie Mujulizi
We live for a creative mind hasa linapokuja katika swala la fashion na style, inaonekana tunako elekea ni kuzuri as personal fashion bloggers wameanza kujitokeza na kuwa wanatupa tips za vitu mbalimbali including kuslay in budget lakini pia namna za kuwa creative kutumia mavazi yako…
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda seโฆ https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…