Miss Tanzania Sylvia Bebwa Azungumza Haya Mara Baada Ya Miss World Kuisha
Sylvia Bebwa, Miss Tanzania 2019 ambae alituwakilisha katika mashindano ya Miss World 2019, yaliyo fanyika mjini London 14/12/2019 ametumia mitandao yake ya kijamii kuzungumza haya baada ya mashindano hayo kuisha. Sylvia alifanikiwa kuingia katika top 20 za Miss World talent, hakufanikiwa kuingia katika top 40…
Tunapenda Tunacho Kiona Kutoka Kwa Miss Tanzania 2019
Tarehe 21/8/2019 tulipata Miss Tanzania mpya, ambae alichukua taji kutoka kwa Miss 2018 Queen Elizabeth Makune. Sylivia Sebastian Bebwa hakuwa chaguo la wengi lakini hii haija mfanya azorore. Kitu ambacho tumekiona na kukipenda kutoka kwake ni kwamba anaonekana sehemu nyingi, hii inampa nafasi ya kuendelea…
Our Two Cents To Miss Tanzania Committee
Miss Tanzania imefanyika Ijumaa ambapo warembo 20 walichuana vikali na hatimaye tukampata mmoja ambae ataenda kutuwakilisha Miss World itakayo fanyika Tarehe 14 December 2019 Jijini London, Uingereza. Miss Tanzania 2019 Ni Sylvia Sebastian Bebwa ambae anatoka mkoani Mwanza, ana umri wa miaka 19 na ni…
Rai Yetu Kwa Miss Tanzania 2019
Ikiwa tunaelekea Miss Tanzania 2019, ambayo itafanyika tarehe 23/8/2019 tumeona tutoerai kwa miss Tanzania ya nini cha kujifunza kutoka kwa Amber Lulu Na Zari The Bosslady. Julai 14 kulikuwa na mashindano ya Miss Kinondoni 2019, ambapo mtumbuizaji alikuwa mwanamuziki Amber Lulu huku Hamisa Mobetto akiwa…
HOT TOPICS
The Hardest Part Of Being A Nigerian Bride Is To Comeup With A Bride Look That Wont Match With Any Of The Guest’s A… https://t.co/8vfNPS0IYg
FollowItaly Kumekucha Afromates #TheKardashian #TheKardashian wapo huko kwaajili ya the wedding of the year. Haya mnasubiri lo… https://t.co/kENoAG9RQg
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…