Hatimae Juliana Rugumisa Kushiriki Miss World
Utata wa nani ataliwakilisisha Taifa katika Miss World umeisha na mshiriki alieshinda nafasi ya pili Juliana Rugumisa amesafiri kwenda kushiriki katika Mashindano ya Dunia. Kulikuwa na utata kutokana na Baraza la Sanaa Tanzania kutokumtambua Juliana na badala yake walitaka Miss Tanzania Rosey Manfere kushiriki katika…
Vuta Ni Kuvute Ya Uwakilishi Miss World 2021
Bado vuguvugu la nani ataenda kuiwakilisha Nchi katika mashindano ya Miss World 2021 linaendelea, Ikumbukwe week iliyopita Miss Tanzania Organization walitoa Tamko la kumuengua Rosey Manfere kuwakilisha Nchi katika Miss World badala yake aende Miss number 2 Juliana Rugumisa. Basata iliwaita pande zote mbili na…
Basata Vs Miss Tanzania Organization
Vuta nikuvute ya nani atakaeenda kuwakilisha Nchi katika mashindano ya urembo Duniani inaendelea kuwa kubwa. Juzi Miss Tanzania Organization ilitoa taarifa kwamba Miss Tanzania Rose Manfere hatoweza kwenda kuiwakilisha Nchi katika mashindano hayo kutokana na utovu wa nidhamu, Rose alijibu kwa kusema hana hio taarifa…
Kizungumkuti Kuhusu Miss Tanzania
Jana taarifa ilitoka kutoka kwa Miss Tanzania Organization kwamba aliyekuwa Miss Tanzania 2020/2021 Rosey Manfere hatoweza kwenda kushiriki mashindano ya dunia ya urembo kutokana na utovu wa nidhamu. Taarifa hii ilishtua wengi na wengine kuhoji Utovu huu wa nidhamu ni upi? Utovu Wa Nidhamu Wamponza…
Utovu Wa Nidhamu Wamponza Miss Tanzania Rose Manfere
December 7, 2020 Tanzania ilimvika taji mrembo Rose Manfere kuwa Miss Tanzania 2020/2021 ambapo alitakiwa kutuwakilisha mwaka huu Puerto Rico katika Mashindano ya Dunia ( Miss World). Lakini hivi karibuni Kamati Ya Miss Tanzania imetangaza kumvua taji mrembo huyu na kumpa uwakilishi mshindi wa pili…
Rosey Manfere Serving Beauty
Miss Tanzania 2020/2021 Rosey Manfere amepost picha zake mpya katika ukurasa wake wa Instagram, katika hizi picha Rosey ametuonyesha uwezo wake wa ku-serve nothing but face & beauty. Rosey amevalia accessories kutoka kwa @gcina_culture_designer MUA @perfectglow_tzPhoto credits @pafectstudio Hair @mamaafrica_mua, we have to say, japo team yake wamejitahidi…
Mambo 3 Yaliyotuvutia Kutoka Katika Event Ya Miss Tanzania 2020
Hatuwezi kuacha kusifia pale sifa zinapo stahiki na kukosoa pale ambapo tunaona pamekosewa hili kujenga Miss Tanzania bora kwa miaka ijayo, tuanze kwa kusema tumefuraishwa na event ya Miss Tanzania mwaka huu. Imeonekana kwamba waandaaji wameanza kusikiliza maoni ya wengine pia. Leo tunaleta mambo matano…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Rose Manfere Miss Tanzania 2020
Usiku wa Dec 5, 2020 Tanzania ilifanikiwa kupata mlimbwende mpya ambae ataenda kutuwakilisha katika shindano la Miss World. Aliyekuwa mshiriki wa miss Tanzania, akiwakilisha Kanda ya Dar es Salaam, Wilaya ya Kinondoni, Rose Manfere (21) amefanikiwa kutwaa taji la miss Tanzania. Rose ni mwanamitindo lakini…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…