SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

Mitindo

Kongole Zetu Kwa Top 3 Ya Miss Tanzania 2022 

Kama ambavyo wakiharibu tunasema basi pale wanapo fanya vyema wasifiwe pia, Top 3 ya Miss Tanzania 2022 inastahiki pongezi, toka wapokee taji hili wamekuwa wakijitahidi sana kuonekana vyema na kwamba wanastahiki taji hili. Tunapenda namna wanavyo jibeba (carry) kuanzia mionekano yao, mavazi, viatu, makeup namna…

Habari

Halima Kopwe Aibuka Kidedea Miss Tanzania 2022 

Mei 20, 2022 Tanzania imepata mrembo wa Taifa ambae atakwenda kutuwakilisha katika kilele cha kumtafuta Miss Words. Halima Kopwe toka Mtwara ametwaa taji hilo la Miss Tanzania. Halima ambae anamiaka 23, amejishindia gari dogo aina ya Benzi lenye thamani ya shilingi milioni 30 na fedha…

Mitindo

Hatimae Juliana Rugumisa Kushiriki Miss World 

Utata wa nani ataliwakilisisha Taifa katika Miss World umeisha na mshiriki alieshinda nafasi ya pili Juliana Rugumisa amesafiri kwenda kushiriki katika Mashindano ya Dunia. Kulikuwa na utata kutokana na Baraza la Sanaa Tanzania kutokumtambua Juliana na badala yake walitaka Miss Tanzania Rosey Manfere kushiriki katika…

Habari

Vuta Ni Kuvute Ya Uwakilishi Miss World 2021 

Bado vuguvugu la nani ataenda kuiwakilisha Nchi katika mashindano ya Miss World 2021 linaendelea, Ikumbukwe week iliyopita Miss Tanzania Organization walitoa Tamko la kumuengua Rosey Manfere kuwakilisha Nchi katika Miss World badala yake aende Miss number 2 Juliana Rugumisa. Basata iliwaita pande zote mbili na…

Habari

Basata Vs Miss Tanzania Organization 

Vuta nikuvute ya nani atakaeenda kuwakilisha Nchi katika mashindano ya urembo Duniani inaendelea kuwa kubwa. Juzi Miss Tanzania Organization ilitoa taarifa kwamba Miss Tanzania Rose Manfere hatoweza kwenda kuiwakilisha Nchi katika mashindano hayo kutokana na utovu wa nidhamu, Rose alijibu kwa kusema hana hio taarifa…

Habari

Kizungumkuti Kuhusu Miss Tanzania 

Jana taarifa ilitoka kutoka kwa Miss Tanzania Organization kwamba aliyekuwa Miss Tanzania 2020/2021 Rosey Manfere hatoweza kwenda kushiriki mashindano ya dunia ya urembo kutokana na utovu wa nidhamu. Taarifa hii ilishtua wengi na wengine kuhoji Utovu huu wa nidhamu ni upi? Utovu Wa Nidhamu Wamponza…

Urembo

Rosey Manfere Serving Beauty 

Miss Tanzania 2020/2021 Rosey Manfere amepost picha zake mpya katika ukurasa wake wa Instagram, katika hizi picha Rosey ametuonyesha uwezo wake wa ku-serve nothing but face & beauty. Rosey amevalia accessories kutoka kwa  @gcina_culture_designer MUA @perfectglow_tzPhoto credits @pafectstudio Hair @mamaafrica_mua, we have to say, japo team yake wamejitahidi…